Kama Nikifa leo hii 31/12/2013

Dah nilikua nae tangu utotoni, chekechea, primary, sekondari O'level ndio baada ya hapo tukatenganishwa!!
 
Dah nilikua nae tangu utotoni, chekechea, primary, sekondari O'level ndio baada ya hapo tukatenganishwa!!
Kilichobaki ni kumuombea tu aweze kupokelewa huko na muumba wake na awekwe sehemu salama kama muumba alioahidi kwa ambao watamtii na kufuata muongozo wake katika maisha yetu ya Duniani
 
Elli umetumia muda wako kufikiri, na kuandika kitu kizuri sana, chenye ujumbe ndani yake hakika kama ukifa leo hii, ntakukumbuka kwa andiko lako hili la mwisho. heri ya mwaka mpya 2014.
Hahahhaah Asante sana sana
 
Mtambuzi, ile story uliandika au uliacha? Nilikua nafukua makaburi Kidogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…