kwa taarifa yako, mi ninavyofahamu mademu hawezi kukubali kuwa ye katoka kudo, yaani atasema jamaa kamlazimisha, ila ye amekataa, sasa anamrudisha kwao, na hajafanya naye chochote.
Halafu kwa vile vidume vinavyojifanya vinajua kupenda, vitamuamini halafu vitamsamehe.