KAFA.cOm JF-Expert Member Joined Jun 22, 2013 Posts 1,301 Reaction score 743 Jan 12, 2016 #1 Habari wadau wa MMU hebu toeni msaada wa nini cha kufanya ili kuchukua taarifa sahihi Au ungekuwa ni wewe ungechukua hatua gani..
Habari wadau wa MMU hebu toeni msaada wa nini cha kufanya ili kuchukua taarifa sahihi Au ungekuwa ni wewe ungechukua hatua gani..
Dr.nathan Member Joined Feb 17, 2014 Posts 76 Reaction score 31 Jan 12, 2016 #2 picha inagoma kufunguka
KAFA.cOm JF-Expert Member Joined Jun 22, 2013 Posts 1,301 Reaction score 743 Jan 12, 2016 Thread starter #3 Jaribu kutumia tapatalk mkuu
Dr.nathan Member Joined Feb 17, 2014 Posts 76 Reaction score 31 Jan 12, 2016 #4 hapo huna jinsi ni kumpiga chini tuu
KAFA.cOm JF-Expert Member Joined Jun 22, 2013 Posts 1,301 Reaction score 743 Jan 12, 2016 Thread starter #5 Dr.nathan said: hapo huna jinsi ni kumpiga chini tuu Click to expand... Sio kumshukuru
JembePoli JF-Expert Member Joined Jul 14, 2015 Posts 1,324 Reaction score 1,000 Jan 12, 2016 #6 Shida yake shida
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 32,086 Reaction score 39,579 Jan 12, 2016 #7 Nitampeleka hospital kwanza. Halafu ntamuuliza jamaa kwanini hakufanya mipango ya harusi muda wote huo?? Kisha nitampeleka home kwa ajiri ya hafra fupi ya kuagana na watoto, unajua nn kitafuata?? Utakutana nae njiani akiwa anatudi kwao.
Nitampeleka hospital kwanza. Halafu ntamuuliza jamaa kwanini hakufanya mipango ya harusi muda wote huo?? Kisha nitampeleka home kwa ajiri ya hafra fupi ya kuagana na watoto, unajua nn kitafuata?? Utakutana nae njiani akiwa anatudi kwao.