Kama ni wewe ungemfanyaje huyo house girl?

busy bees

JF-Expert Member
Aug 26, 2016
2,249
1,332
FB_IMG_1470854378278.jpeg
 
Na wengi wao wanakuwa hawajawahi hata kuviona.
Exactly ... na hata kama wamebahatika kuziona hawajawahi kamwe kuzigusa na wakisogea wataambiwa "pita kuleeeeeee .... mimacho kama mjusi alofumaniwa ..."
 
Nyuma ya kalenda ni gerezani mkuu yaani unakuwa hujui nini kinaendelea uraiani unakumbuka tu siku ya kuhukumiwa tu
 
Tatizo la "bosi" haku - specify .... maagizo:- FANYA USAFI VITU VYOTE CHUMBANI dada wa kazi akaingia kazini kwa speed kali
na wanavyokuwa na ashki ya kuonesha cv zao kivitendo (ili ikibidi wapande cheo pale penye fursa hasa kwa barobaro mseja).
 
Back
Top Bottom