Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,567
- 2,063
Bwana mmoja alikuwa anafanya kazi katika chumba cha maiti. Siku moja akaletwa maiti ana u,boo mrefu, bwana yule akashangaa kwasababu hajawahi kuona kitu kama hicho. Akaukata akaenda nao nyumbani kwake, kufika akamuonyesha mkewe. Akamwambia 'Mke wangu angalia maajabu haya'. Mke kwa Muhma akajibu akaaa!!! Inabidi bwana GLOBU hatunae tena duniani!!! Bwana pale pale akaanguka chini akazimia. KUMBE MKEWE ANAUJUA VYEMA.