atakua boya huo ukimlainisha.. kizembe hvoNamlainisha tu kiana anansamehe na ndo mwisho wangu wa kuchepuka
Jamani why nikae navyo mbali?Hapana, vua na ukae navyo mbali.
Ndio kusudio.
Vizuri sana mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23]Aiseee kuna mambo mengine hata kuyawaza huwa sitaki
Kuchepuka ni tabia. Haina mwisho. Usijidanganye.Namlainisha tu kiana anansamehe na ndo mwisho wangu wa kuchepuka
Hili linawezekana lakini hawezi kutoa kauli ya ''muwahishe nyumbani kabla mume wake hajarudi'',labda ungeishia kusema tu muwahishe nyumbani.. au huyo jamaa hekima yake itakua ni kama ya mtu punguaniMfano wewe ni Derevawa Bodaboda umepigiwa simu kumfuata mteja Gest na wewe ukaenda maana ndiyo kazi yako, sasa ile unafika tu! Unakuta Mteja ni Mkeo, akiwa na jamaa Mlangoni wanatoka ndani ya Guest wakiwa Wameshikana Mikono na Jamaa anakwambia Muwahishe Nyumbani kabla Mume wake hajarudi, Na wewe ndiye MUME
Mfano wewe ni Derevawa Bodaboda umepigiwa simu kumfuata mteja Gest na wewe ukaenda maana ndiyo kazi yako, sasa ile unafika tu! Unakuta Mteja ni Mkeo, akiwa na jamaa Mlangoni wanatoka ndani ya Guest wakiwa Wameshikana Mikono na Jamaa anakwambia Muwahishe Nyumbani kabla Mume wake hajarudi, Na wewe ndiye MUME
Jamani why nikae navyo mbali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125] haya nimekomaHavikutoshi.
Hakuna cha uboya hapoat
atakua boya huo ukimlainisha.. kizembe hvo
We unachepukaga?Kuchepuka ni tabia. Haina mwisho. Usijidanganye.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] sio kwa mawazo hayanamwambia wife aende nyumbani...nakodi chumba alaf nam'bandua jamaa....alafu napitia hardware nanunua panga nikifika geto wife simwambii chochote....asubuh na mapema naanza kunoa panga....mchana tena nanoa panga langu....jioni tena nanoa panga alafu wife simkasirikii....kesho tena nanoa panga asubuhi,mchana na jioni....wife akiona tu nnavonoa panga lazima afe kwa hofu....
Siyo kirahisi hivyo... kumbuka ukifumaniwa unakuwa mdogo kuliko pilitoni...Namlainisha tu kiana anansamehe na ndo mwisho wangu wa kuchepuka
Sio rahisi kwamuda huo ila badae atalegeza tuSiyo kirahisi hivyo... kumbuka ukifumaniwa unakuwa mdogo kuliko pilitoni...
Mpaka ifike hiyo baadaye, utakuwa ushatawanywa makwapaSio rahisi kwamuda huo ila badae atalegeza tu
Sina historia hiyo na sijawahi.We unachepukaga?