Kama ni uongo, huu ni kiboko

Kama ni uongo, huu ni kiboko

B.4really

Senior Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
199
Reaction score
89
Heri ya pasaka wanaJf,

Mwezi mmoja uliopita nilimpata mdada katika kupiga storiez nini,nikamtupia macho na yeye akawa ameitikia nikasema basi sawa ngoja twende ili tuone hatua yake maana mdada mrembo kama yule si rahisi akoswe mpenzi.

Basi wiki uliyopta kanipigia simu usiku wakati tunapiga story nikamuuliza vip boyfriand wako.mzima'?kama utan tu alichonijibu ilibidi nicheke badala ya kusikitika.

Dada sasa: Sikiliza nikwambie B kiukweli sio kwamba sikuwa na mpenzi but mpenzu niliyekuwa naye nimespend nae more than 3yrs bt sijawahi kusex nae because jogoo wake hapandi mtungi.

Hivi kweli wanajf wenzangu inawezekana mwanamke kukaa na mwanamme ambaye hafunction kwa muda wote huo
.
 
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!
 
Hata ww unaeza kuwa umetajwa hvy kwa mwingine!
 
Hapo siyo jamaa yake wa zamani, hapo ni yeye mwanamke ndiyo ana matatizo. Angalia na wewe jogoo wako akashindwa ghafla kufanya kazi.
 
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!
umetisha
 
Iko siku na wewe utatambulishwa sehemu kuwa haupandi mtungi
 
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!

Ctaki kuamini!ulichoandika.
 
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!

Duuuh! We kibooko wallaah!
 
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!
wenye fikra mfu kama ww wataamini Btw hongera kwa kulijali azimio
 
[mbona Kuna siku nimepata kazi ikulu, nikakacha, nikaamue bora kutembeza zangu mboga mboga mtaani mie ijapo elimu ninayo, na Ni baada ya kusota mtaani vya kutosha
 
wenye fikra mfu kama ww wataamini Btw hongera kwa kulijali azimio


fikra mfu? My God..you are the biggest joke!! yaani unakuja kuuliza vitu visivyowezeka unapewa majibu-mlinganyo halafu unatukana?

ok, nabadilisha
inawezekana demu wako aliishi na mwanamme asiye rijali kwa miaka mitatu kama inavyowezekana bibi yangu mzaa mama kuwa bikra...hapo je?
 
Kwa nini isiwezekane?...Mbona kuna siku mimi nilikosa nauli kutoka Mwenge kuja Shekilango nikachukua short cut. Kufika ukuta wa Posta nikaona kijimfuko..kama utani nikakiokota kufungua ndani nikakuta elfu 83..nakajiambia sitaki hela za kuokota nikakiacha palepale nikaendelea kuunga mkono Azimio!!!!

Kaka kuwika kwa jogoo na kuokota ela wapi na wapi??jaribu kuelewa mada tafadhali
 
Back
Top Bottom