Kama ni mke wako ungemfanyaje?

Kama ni mke wako ungemfanyaje?

Hapo ni kupiga magoti na kumuomba Mungu akuongoze kwenye tukio hilo hili usije tumia akili za kwako binafsi ukafanya makubwa ya kukudhalilisha we mwanaume,

Kama ukitumia busara ukajiuliza wewe binafsi umemsaliti mkeo mara ngapi ni raisi kumsamehe, ila kama hujawahi kumsaliti mwenza wako itakuuma sana tena sana.
 
yuko ndugu yet mmoja alitonywa kuhusu mkewe kugegedwa akiwa safarini.
kilimuuma sana hakumwambia mkewe.
siku moja aliaga anasafiri kikazi kama kawaida yake.alisubiri hadi saa 8 mchana akarudi home ghafla akamkuta housegirl na mtoto
akauliza mama kajibiwa yuko na uncle..
aliingia chumbani kwake kawakuta na shetan alivo mwema hawakufunga mlango
akawasalimia habari zenu,akachukua charger ya simu yake akatoka akaingia zake mitaani hakuwafanya kitu.
mkewe alirudi kwao mwenyewe kwa aibu..walikuja kusuluhisha mke sasa katulia..

huyu aliempiga mkewe labda kama atamwacha cause anajiabisha mwenyewe/
 
yuko ndugu yet mmoja alitonywa kuhusu mkewe kugegedwa akiwa safarini.
kilimuuma sana hakumwambia mkewe.
siku moja aliaga anasafiri kikazi kama kawaida yake.alisubiri hadi saa 8 mchana akarudi home ghafla akamkuta housegirl na mtoto
akauliza mama kajibiwa yuko na uncle..
aliingia chumbani kwake kawakuta na shetan alivo mwema hawakufunga mlango
akawasalimia habari zenu,akachukua charger ya simu yake akatoka akaingia zake mitaani hakuwafanya kitu.
mkewe alirudi kwao mwenyewe kwa aibu..walikuja kusuluhisha mke sasa katulia..

huyu aliempiga mkewe labda kama atamwacha cause anajiabisha mwenyewe/

Huyo jamaa yako inawezekana na yeye anagegeda nje ya ndoa. Ila huyo mke alifanya vibaya kigegedewa ndani ya mji wa huyo jamaa. Mambo yote fanya nje sio ndani ya nyumba yangu.
 
sina hakika kama hagegedi nje ila tunamwona katulia sana
na alimpenda sana mkwekwe na hakuamini aliyokuwa anasikia hadi aliposhuhudia
bahati nzuri hakupata hasira ya ghafla kama wengine angeua mtu siku hiyo..
uhuni ni uhuni ndugu hata kama wakifanyia guest house bado mali inaliwa
Huyo jamaa yako inawezekana na yeye anagegeda nje ya ndoa. Ila huyo mke alifanya vibaya kigegedewa ndani ya mji wa huyo jamaa. Mambo yote fanya nje sio ndani ya nyumba yangu.
 
Back
Top Bottom