Kuna sakata moja limetoa nyasho musoma,sakata lenyewe ni hili: kuna mwanamke mmoja umri kati ya miaka 40 amefumaniwa akifanya mapenzi laivu na kijana mdogo wa miaka 23, wawili hao wamekamatwa wakifanya mambo yao ndani ya saloon yake ambayo alifunguliwa na mme wake kwa ajili ya kuimarisha uchumi wa familia! Lakini kinyume na matarajio salon imekuwa ni gest yao, kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio wanasema mme wake alipata habari toka kwa raia wema na mara alipofika kijana alichomoka ndani akiwa na boxer na kutokomea! mara baada ya mme wake kufika alimpa mikanda ya kutosha kisha kuondoka hadi polisi walipokuja na kumchukua mama huyo ambaye aligoma kutoka ndani mpaka alipopewa makofi ya kutosha,kisha wakaondoka nae,mwisho wa sakata!