Kwa nini wasianze upya kabisa baada ya zoezi la Oktoba 29?
Maana yake ni kwamba; CCM iliyo tufikisha hapa ifutike kabisa, kwa sababu imekuwa ni balaa kwa nchi hii.
Maana yangu ni kuwa, kila kinachohusika na CCM ya sasa kiishie Oktoba 29; watakaotaka kuendelea na chama hicho waanze upya kabisa kuanzia tarehe hiyo.
Kwamba wasiwe na mali za aina yoyote zinazohusishwa kuwa za chama hicho sasa hivi; kama ofisi, viwanja na hata wanachama wenyewe waanze upya.
Ngoja niishie hapa; lakini huenda mkuu 'Lord' akawa na ya ziada ya kuongezea.
Maana yake ni kwamba; CCM iliyo tufikisha hapa ifutike kabisa, kwa sababu imekuwa ni balaa kwa nchi hii.
Maana yangu ni kuwa, kila kinachohusika na CCM ya sasa kiishie Oktoba 29; watakaotaka kuendelea na chama hicho waanze upya kabisa kuanzia tarehe hiyo.
Kwamba wasiwe na mali za aina yoyote zinazohusishwa kuwa za chama hicho sasa hivi; kama ofisi, viwanja na hata wanachama wenyewe waanze upya.
Ngoja niishie hapa; lakini huenda mkuu 'Lord' akawa na ya ziada ya kuongezea.