kama ni kinyume na katiba si,atengue tu,

gogo la shamba

JF-Expert Member
Mar 1, 2013
6,670
2,165
nimejaribu kufuatilia hili suala la Raisi kuteuwa wabunge 6 wanaume, maoni yangu ni kwamba,kama ni kinyume cha katiba Raisi si,atengue uteuzi wa mmoja wa hao aliowachagua na kusema wazi kwamba ni kinyume cha katiba, hasa ukizingatia kwamba yeye ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu
 
nimejaribu kufuatilia hili suala la Raisi kuteuwa wabunge 6 wanaume, maoni yangu ni kwamba,kama ni kinyume cha katiba Raisi si,atengue uteuzi wa mmoja wa hao aliowachagua na kusema wazi kwamba ni kinyume cha katiba, hasa ukizingatia kwamba yeye ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu
Nchi ya viwandaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Ukiona mtu anajinasibu sana na Mungu muogope kama ukoma!
 
Kastuka huyo kasha pangua Naibu wa Waziri aliyekuwa ameteuliwa kuwa mbunge na baadae kuwa waziri
 
nimejaribu kufuatilia hili suala la Raisi kuteuwa wabunge 6 wanaume, maoni yangu ni kwamba,kama ni kinyume cha katiba Raisi si,atengue uteuzi wa mmoja wa hao aliowachagua na kusema wazi kwamba ni kinyume cha katiba, hasa ukizingatia kwamba yeye ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu
kamtengua albino abdallah possi...........
 
Back
Top Bottom