mangikule
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 6,468
- 6,016
Ahsante mkuu IVONYA; nilikuwa natafuta maneno muafaka ya kuelezea huyo professor alivyokiuka haki za binadamu!! kwa kushabikia "marginalisation of the minority" hakuna dhambi kubwa kama hii. Kwa sababu ni wachache then wasifikiriwe kwenye sheria mama!! A prudent learned person should be able to be analytical and think objectively. Kama huyu ndiye mkuu wa mchakato wa Katiba ZNZ then minority wameumia!!Quoted....."Professa Sherif amesema mabadiliko ya katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yanayofanyika yazingatia suala la dini kwani katiba ya Tanzania inazungumzia serikali haina dini lakini katiba ya Zanzibar haina kifungu hicho na hivyo suala la dini waachiwe watu wenyewe badala ya kuingizwa katika katiba."
Mkuu Kakke
Hapo kwenye red kama ni kweli pana tatizo. Ni vema katiba ya Zanzibar ikawa wazi kwa kutamka ama Zanzibar ni secular state ama theocratic. Kuzungumzia idadi ya majority residents na imani yao pekee haitoshi kuhalalisha kuwa dola ya imani fulani. Vipi kuhusu hao minority residents(1%)??? Hili ni swala la kikatiba na katiba haipaswi kuwa kimya kwa hilo.