Wana JF,
Napata shida kuhusu maneno "nyimbo" na "wimbo".
Nilifundishwa kuwa "wimbo" ni umoja na "nyimbo" ni wingi.
Sasa kila siku kwenye redio zetu ".. Nyimbo moja ya banana zoro..." Nadhani ilipaswa kuwa " wimbo mmoja wa banana zoro.."
Nikosoeni kama nimekosea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.