kama nakosea niambieni

Speedo

Member
Feb 15, 2011
70
19
Wana JF,
Napata shida kuhusu maneno "nyimbo" na "wimbo".
Nilifundishwa kuwa "wimbo" ni umoja na "nyimbo" ni wingi.
Sasa kila siku kwenye redio zetu ".. Nyimbo moja ya banana zoro..." Nadhani ilipaswa kuwa " wimbo mmoja wa banana zoro.."
Nikosoeni kama nimekosea
 
Back
Top Bottom