chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,721
Riziki ni mafungu saba ila katika saba umebakisha moja umalize fungu lako.
Ukiona umepata mafanikio makubwa tambua huko mbeleni kuna misukosuko isiyonatija. CR7 anaamini bado ni mzuri kwenye mpira na Waarabu wamemchukua sio kwa ajili ya mpira kama sanamu lao la matangazo.
Ila huyu mwamba angefanya kama Bekham naona ingemsaidia sana sababu ana uwezo wa kuwa mwanamitindo na matangazo tu.
Au kufanya biashara yenye brand yake. Mpira kwa sasa basi kwake.
Na hapa ndio tutamsahau.
Ukiona umepata mafanikio makubwa tambua huko mbeleni kuna misukosuko isiyonatija. CR7 anaamini bado ni mzuri kwenye mpira na Waarabu wamemchukua sio kwa ajili ya mpira kama sanamu lao la matangazo.
Ila huyu mwamba angefanya kama Bekham naona ingemsaidia sana sababu ana uwezo wa kuwa mwanamitindo na matangazo tu.
Au kufanya biashara yenye brand yake. Mpira kwa sasa basi kwake.
Na hapa ndio tutamsahau.