mpimamstaafu
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 4,445
- 4,704
Hakika nimekuwa nashangazwa na kauli ya Yanga na Mashabiki wake kuwa Simba inabebwa na Marefa.Binafsi napinga kwa sababu Uwanjani kuna Watu wengi wenye dhamana na mpira wanaofuatilia mambo mbalimbali uwanjani kuanzia Makamisaa,Marefa,Viongozi wa timu shiriki Wachezaji na watazamaji.
Hivi kama Simba inabebwa Basi viongozi hao niliowataja nao wanaibeba Simba.Na kama Marefa wanaibeba Simba nilitegemea Marefa hao hao Wangehakikisha Yanga inafungwa kwani kuibeba Simba na Yanga ikawa inashinda itakuwa haina maana.
Mashabiki wa Yanga wamesahau kuwa mpira una mambo mengi wachezaji hasa mabeki wanaweza wakawa wanacheza Offside Trick kwa timu penzi je Refa aseme Offside wakati mabeki wamemkimbia mshambuliaji?
Kwani timu pinzani hazilalamiki ila Yanga ndio inalalamika? Yanga maji mengi unga kidogo gologeni Uji tu Ugali hakuna.
Usiku mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi kama Simba inabebwa Basi viongozi hao niliowataja nao wanaibeba Simba.Na kama Marefa wanaibeba Simba nilitegemea Marefa hao hao Wangehakikisha Yanga inafungwa kwani kuibeba Simba na Yanga ikawa inashinda itakuwa haina maana.
Mashabiki wa Yanga wamesahau kuwa mpira una mambo mengi wachezaji hasa mabeki wanaweza wakawa wanacheza Offside Trick kwa timu penzi je Refa aseme Offside wakati mabeki wamemkimbia mshambuliaji?
Kwani timu pinzani hazilalamiki ila Yanga ndio inalalamika? Yanga maji mengi unga kidogo gologeni Uji tu Ugali hakuna.
Usiku mwema
Sent using Jamii Forums mobile app