Kama Lissu anaweza kuchanga karata zake, vyema akafikiria kuanzisha chama chake

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,132
7,711
Kuna kila dalili Chadema imepata doa ambalo haliwezi kufutika. Mbowe anatuhumiwa kwa kesi ya Ugaidi kosa ambalo ni hatari sana kwa usalama wa nchi, ni ukweli usio na shaka kuwa Japo bado ni tuhuma lkn ni tuhuma nzito.

Sio tu ni pigo kwa Mbowe mwenyewe lakini pia lina athari ya moja kwa moja kwa chama chenyewe kwa sababu Mbowe ndio alikuwa kiongozi, hivyo tuhuma zinazo mkabili zimekichafua chama kwa kiwango ambacho hakitosafishika wala kuaminika ktk jamii.

Kufuatia tuhuma hizi dhidi ya Mbowe kwa sasa Chadema inaonekana kama Genge la wahalifu na hivyo kila mtu anakiogopa.
yaani Mbowe kanyea kambi.

Kama Lissu anaweza kuchanga karata zake basi ni vyema akafikiria kuanzisha chama chake.
 
Unaonekana wazi wewe bado ni mchanga sana kwenye siasa na hata kiumri swala la kesi za kubambikizwa kwa vyama vya upinzani hili limekuwa ni jambo la kawaida hasa kwa nchi zilizokosa demokrasia hasa hizi nchi za kiafrika zenye uroho wa madaraka.

Kwa kufanya kitendo hiki kwao wanaona ni njia mojawapo ya kumdidimiza mwenzie au kumpoteza mwenzie(mchezo mchafu) chama chochote kilichopoteza matumaini ya kuendelea kubakia madarakani huwa wanakuwa na tabia hizi na hizi ndio siasa za kiafrika.

Anza sasa kufatilia siasa za nchi hizi za kiafrika utagundua mengi tu,angalia wenzetu kule uganda na rwanda utanipa jibu.
 
Unaonekana wazi wewe bado ni mchanga sana kwenye siasa na hata kiumri swala la kesi za kubambikizwa kwa vyama vya upinzani hili limekuwa ni jambo la kawaida hasa kwa nchi zilizokosa demokrasia hasa hizi nchi za kiafrika zenye uroho wa madaraka.

Kwa kufanya kitendo hiki kwao wanaona ni njia mojawapo ya kumdidimiza mwenzie au kumpoteza mwenzie(mchezo mchafu) chama chochote kilichopoteza matumaini ya kuendelea kubakia madarakani huwa wanakuwa na tabia hizi na hizi ndio siasa za kiafrika.

Anza sasa kufatilia siasa za nchi hizi za kiafrika utagundua mengi tu,angalia wenzetu kule uganda na rwanda utanipa jibu.
IGP Kasema "ukidhani kama Mbowe kabambikiwa nenda kamuulize, hatuna haja ya kupoteza muda na nguvu zako kumtetea kwenye mitandao., wewe nenda kamuulize hivi Je Mwamba ni kweli haya mambo?
tayari Mwamba amesha kichafua chama vibaya sana, yaani kanyea kambi.
 
IGP Kasema "ukidhani kama Mbowe kabambikiwa nenda kamuulize, hatuna haja ya kupoteza muda na nguvu zako kumtetea kwenye mitandao., wewe nenda kamuulize hivi Je Mwamba ni kweli haya mambo?
tayari Mwamba amesha kichafua chama vibaya sana, yaani kanyea kambi.
Kama ungalijua umuhimu wa upinzani makini dhidi ya chama tawala chenye maono mafupi, kilichokosa dira na muelekeo sahihi, natambua kuwa ungalikaa kimya na kutoshabia suala la Mbowe kubambikiwa kesi isiyokuwa na maana yoyote ile.

Mpaka tufikapo mwaka 2025 utakuja kutambua umuhimu wa vyama vya upinzani katika kufanya maamuzi ya pamoja yenye kujali maslahi mapana ya taifa letu. CCM hakina tena fikra pevu kutokana na matakwa ya wakati.

Ni chama chenye sera mufilisi na pia chenye kukosa ushawishi na hoja za kuweza kushindana na vyama makini vya upinzani katika majukwaa ya kisiasa. Hiyo ndiyo maana kimejificha nyuma ya matumizi mabaya ya vyombo vya dola ili kizidi kubakia madarakani.

Aina ya uongozi wa chama hiki sawa kabisa na kulazimisha kuweka mvinyo wa kale ndani ya kiriba cha kipya, ama sawa kabisa na kuweka pombe ya kienyeji aina "kimpumu" ama "mbege" ndani ya "thermos flask" kwa lengo la kuwahudumia wateja ndani ya "glass of wine" ukiamini kuwa wataburudika vya kutosha.
 
Kama ungalijua umuhimu wa upinzani makini dhidi ya chama tawala chenye maono mafupi, kilichokosa dira na muelekeo sahihi, natambua kuwa ungalikaa kimya na kutoshabia suala la Mbowe kubambikiwa kesi isiyokuwa na maana yoyote ile.
watanzania hawataki chama chenye lengo la kuvuruga amani na utulivu,
watqnzania wanataka washawishiwe kwa hoja na sio kwa kuvuruga amani, njama za kihalifu, matusi vurugu mechi.
binafsi sina chama ila napenda wanasiasa wanao tumia hoja kushawishi na sio kuvuruga mambo mazuri ilimradi tu wapate cha kusema.

kwa sasa Tanzania bado hatuna chama makini cha upinzani, walio wengi wanajali masilahi yao binafsi na kuwahadaa watanzania.
uchu wa kupata madaraka kwa njia yoyote ile kwa kifupi viongozi wa vyama vya upinzani hawaheshimu wala hawajali uzalendo wa nchi, wala hawajali tunu za taifa wao wanacho waza ni madaraka tu.
 
Chadema ina watu, ccm ina Dola, ni suala la muda tu chadema itachukua nchi
 
Hana haja ya kuanzisha chama kipya yeye atuombee ufadhili wa silaha urusi akae hko atulie tutamuita tukimaliza kazi. (movie)
 
Kuna kila dalili Chadema imepata doa ambalo haliwezi kufutika. Mbowe anatuhumiwa kwa kesi ya Ugaidi kosa ambalo ni hatari sana kwa usalama wa nchi, ni ukweli usio na shaka kuwa Japo bado ni tuhuma lkn ni tuhuma nzito.

Sio tu ni pigo kwa Mbowe mwenyewe lakini pia lina athari ya moja kwa moja kwa chama chenyewe kwa sababu Mbowe ndio alikuwa kiongozi, hivyo tuhuma zinazo mkabili zimekichafua chama kwa kiwango ambacho hakitosafishika wala kuaminika ktk jamii.

Kufuatia tuhuma hizi dhidi ya Mbowe kwa sasa Chadema inaonekana kama Genge la wahalifu na hivyo kila mtu anakiogopa.
yaani Mbowe kanyea kambi.

Kama Lissu anaweza kuchanga karata zake basi ni vyema akafikiria kuanzisha chama chake.
Hizi ndo akili za lumumba DPP. IGP, DG wa tiss, upuzi mtupu,

mliwahi kumtunumu lwakatarate kwa kesi ya ugaidi akawashinda, mkafuta kesi

Juzi Kati mliwatuhumu mashehe wa uamsho mkakosa ushahidi mkawato kwa sibu
na hii ya mbowe mtaaibika tu
 
watanzania hawataki chama chenye lengo la kuvuruga amani na utulivu,
watqnzania wanataka washawishiwe kwa hoja na sio kwa kuvuruga amani, njama za kihalifu, matusi vurugu mechi.
binafsi sina chama ila napenda wanasiasa wanao tumia hoja kushawishi na sio kuvuruga mambo mazuri ilimradi tu wapate cha kusema.
kwa sasa Tanzania bado hatuna chama makini cha upinzani, walio wengi wanajali masilahi yao binafsi na kuwahadaa watanzania.
uchu wa kupata madaraka kwa njia yoyote ile kwa kifupi viongozi wa vyama vya upinzani hawaheshimu wala hawajali uzalendo wa nchi, wala hawajali tunu za taifa wao wanacho waza ni madaraka tu.
Unaijua ccm wewe? na wenye ccm yao? Dogo acha kuhemuka
 
IGP Kasema "ukidhani kama Mbowe kabambikiwa nenda kamuulize, hatuna haja ya kupoteza muda na nguvu zako kumtetea kwenye mitandao., wewe nenda kamuulize hivi Je Mwamba ni kweli haya mambo?
tayari Mwamba amesha kichafua chama vibaya sana, yaani kanyea kambi.

Kesi kama hizo ndio zinafanya chaguzi ziwe ngumu kwa Ccm

Watu wajinga na wapumbavu kama wewe ndio ndio mtaji wa ccm.

Wanashabikia upuuzi wa polisi ila watanzania wa Leo asilimia kubwa wanajielewa.
 
Back
Top Bottom