Kama Ligi Kuu ya Uingereza ingekuwa darasa

Sizinga

Platinum Member
Oct 30, 2007
9,101
6,027
Nimeikuta kuleee..Nikasema ngoja niitupie wadau waione na huku!!!


KAMA LIGI KUU YA UINGEREZA INGEKUWA DARASA LA SHULE YA SEKONDARI....
1.Liverpool ni mwanafunzi ane jisifia
na kuona ana akili kwa kuwa babu
yake alifaulu kwa division one japo
yeye anapata zero.

2.Manchester city ni mwanafunzi wa
kishua ambae wazazi wake
wanamnunulia vitabu vingi na vya
gharama lakini ni mvivu wa kusoma
hii inamfanya afaulu mitihani ya
ndani lakini nje ya shule ana fail.

3.Arsenal ni dogo maskini mtulivu
darasani anaesongoka sana na
huwa anabahatisha kuwa wa
kwanza kwenye mitihan ya mid term
ila mtihani wa taifa anafeli.

4.Tothenham ni dogo anaefaulu
somo moja tu mara nyingi huwa
anapishana maksi chache na arsenal.

5.Chelsea ni mwanafunzi wa kishua
ila mtemi wa darasa zima haswa
kwa wanaoongoza darasani ambae
akifeli tu anamlaumu ticha wake
mpaka afukuzwe.

6.Everton ni dogo mcharuko na
mjanja mjanja anae soma kipindi
cha mtihani tu kwa ku paniki.

7.Manchester united ni dogo
mwenye akili za kawaida ila muongo
muongo anaetegemea chabo na
kuiba mitihan tatizo anaemfanya
aibe mitihani kesha staafu ndo mana
now anapiga F kila pepa japo
kanunuliwa vitabu vipya vilivyo nje ya
silabasi.

 
Back
Top Bottom