Kama lawama ni mashindano Yanga wapewe ubingwa wao.

Hakuna team ya mpira au mchezo wowote itakuwa inshinda yenyewe tu kila siku. Labda Liverpool na sio hizi team uchwara za bongo.
 
Yanga itakuwa bora itakapoacha kuwa timu ya kihistoria na iwe timu ya kibiashara!! we are all waiting for that transformations lasivyo tutabaki kuwa watu wakuona wivu tu.
 
Muhindi wa mikia anaunawa mpira ndani ya 18 refa kipofu..Morrison anaangushwa ndani ya 18 refa kipofu
 
Yanga ile ya mwenyekiti Yusuph Manji na Kiongozi wa TFF Malinzi ilikuwa ikiwanyanyasa sana Simba na ikatwaa ubingwa mara 3 mfululizo. Haji Manara alishauri marefarii wawe wanatoka nje ya nchi baada ya Tambwe kufunga goli la mkono, na mashabiki wa Simba walikuwa ni watu wa kulalamika bila kusikilizwa. Hivyo kwa hizi kelele za sasa ni dhahili kuwa wanajisahaulisha matendo yao ya huko nyuma.
 
Mpira ni mchezo wa hadharani, Yanga kulalamika juu ya marefa wako sahihi na malalamiko yao ni ya msingi haiwezekani wao Yanga wakicheza matukio ya penati ambazo endapo zingetolewa zingewanufaisha hazitolewi, Alafu mpinzani wake wa jadi simba amenufaika na makosa ya marefa karibu mechi tano mfulululizo ambazo kama kungekua na umakini ata idadi ya point kati yao ingekua ndogo na hivi tunavyo kandika Simba ingekua imesha tolewa katika FA na mwadui.

Matokeo yake Simba anaweza akawa bingwa wa Vodacom kwa kubebwa, ila aibu inakuja kwenye mashindano ya Caf ya vilabu Timu inapigwa goli tanotano mfululizo mna anza kugombana na Makocha,wachezaji, Marefa mlisha sahau kua hamkustahili kutwaa ubingwa ila mlibebwa.
Kama mnatarajia MO ataendelea kuhonga mbaka kule kwenye mashindano ya vilabu afrika nina hakika ndaniya miaka mitano MO wanakwenda kufilisika kama alivyo poromoka katika jedwali la matajiri vijana wa ki afrika. Kutoka namba moja sasa yupo 16, mwakani atakua 32.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpira ni mchezo wa hadharani, Yanga kulalamika juu ya marefa wako sahihi na malalamiko yao ni ya msingi haiwezekani wao Yanga wakicheza matukio ya penati ambazo endapo zingetolewa zingewanufaisha hazitolewi, Alafu mpinzani wake wa jadi simba amenufaika na makosa ya marefa karibu mechi tano mfulululizo ambazo kama kungekua na umakini ata idadi ya point kati yao ingekua ndogo na hivi tunavyo kandika Simba ingekua imesha tolewa katika FA na mwadui.

Matokeo yake Simba anaweza akawa bingwa wa Vodacom kwa kubebwa, ila aibu inakuja kwenye mashindano ya Caf ya vilabu Timu inapigwa goli tanotano mfululizo mna anza kugombana na Makocha,wachezaji, Marefa mlisha sahau kua hamkustahili kutwaa ubingwa ila mlibebwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, yanga hii ambayo haibebwi na marefa wa kibongo ikienda huko kimataifa huwa inafikia hatua gani kwani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom