johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,015
- 142,055
Ni wazi kwenye kutengeneza Katiba mpya tutakopa Baadhi ya mambo mazuri Kutoka kwenye Katiba mbalimbali za Nchi zilizofanikiwa
Leo Rais Ruto wa Kenya amemteua DPP Hajji kuwa Boss wa NIT lakini ni lazima athibitishwe na Bunge kwa mujibu wa Katiba
Ndio nikalitafakari Bunge letu la akina Kibajaj na Babu Tale
Mlale Unono!
Leo Rais Ruto wa Kenya amemteua DPP Hajji kuwa Boss wa NIT lakini ni lazima athibitishwe na Bunge kwa mujibu wa Katiba
Ndio nikalitafakari Bunge letu la akina Kibajaj na Babu Tale
Mlale Unono!