Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Hapo vip!!
Essay embu naombeni mniposomo kwasabababu binafsi nimeshindwa kuelewa wapinzani wanahusishwa vip na kukwamisha maendeleo.
Kwasababu naona awamu hii inawachukulia wapinzani kama maadui ,wakati wapinzani kazi yao nikuongea katika kukosoa mapungufu katika miradi mbalimbali ya maendeleo yanayoandaliwa na kutekelezwa ili iwe katika ubora zaidi.
Hivi mpinzani anaweza kuzuiya project mbalimbali za serikali?na kama anaweza ni kivipi? labda mimi ndio sielewi.
Binfsi mimi nawachukulia wapinzani kama projects eveluators na si wakwamishaji wa maendeleo na inavyotafsiria katika hii awamu ya tano.
Wadau naombe embu mnielimishe juu ya hili and kama kunaukweli bas nchi hii iwe ya chama kimoja.
Essay embu naombeni mniposomo kwasabababu binafsi nimeshindwa kuelewa wapinzani wanahusishwa vip na kukwamisha maendeleo.
Kwasababu naona awamu hii inawachukulia wapinzani kama maadui ,wakati wapinzani kazi yao nikuongea katika kukosoa mapungufu katika miradi mbalimbali ya maendeleo yanayoandaliwa na kutekelezwa ili iwe katika ubora zaidi.
Hivi mpinzani anaweza kuzuiya project mbalimbali za serikali?na kama anaweza ni kivipi? labda mimi ndio sielewi.
Binfsi mimi nawachukulia wapinzani kama projects eveluators na si wakwamishaji wa maendeleo na inavyotafsiria katika hii awamu ya tano.
Wadau naombe embu mnielimishe juu ya hili and kama kunaukweli bas nchi hii iwe ya chama kimoja.