HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
WaTanzania na waAfrika kwa ujumla ufike wakati bongo zifanye kazi inashindikana nini kutumia novena na albadili kuisafisha Tanzania na Afrika?
Fanyeni basi huo ujinga wenu watu waondokane na ccm,ufisadi,maradhi,wauaji,wizi,nk.
Mapadri,masheikh,wachungaji,maaskofu,mapapa,manabii,nk wanakufa na kuishi maisha ya shida kwanini wasifinge hiyo novena au kusoma alibadili wawe salama?
Ujinga ukizidi huwa dhambi!!
Fanyeni basi huo ujinga wenu watu waondokane na ccm,ufisadi,maradhi,wauaji,wizi,nk.
Mapadri,masheikh,wachungaji,maaskofu,mapapa,manabii,nk wanakufa na kuishi maisha ya shida kwanini wasifinge hiyo novena au kusoma alibadili wawe salama?
Ujinga ukizidi huwa dhambi!!