Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,436
- 5,229
Naona jamaa ameshajihakikishia nafasi mapema, hadi ameanza kupiga mikwara watu mapema
=================
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema yuko tayari kupambana na mafisadi wote wanaowaonea wananchi wanyonge.
“Kama kuna watu walizoea kutajirika, waambie Makonda anaingia kazini Oktoba 29,” amesema Makonda.
Amesema hayo Alhamis Septemba 20, 2025 akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Soko la Morombo Kata ya Murieti.
=================
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amesema yuko tayari kupambana na mafisadi wote wanaowaonea wananchi wanyonge.
“Kama kuna watu walizoea kutajirika, waambie Makonda anaingia kazini Oktoba 29,” amesema Makonda.
Amesema hayo Alhamis Septemba 20, 2025 akizungumza wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika Soko la Morombo Kata ya Murieti.