The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 583
Wanajamvi,
Kumekuwa na habari katika nyingi nyingi tu kwenye vyombo mbali mbali vya habari kuwa Katiba ya Ghana ndio Katiba bora kuliko zoote Afrika ! Mi naomba mumwambie Kaka mkubwa akienda kwenye msiba wa Marehemu Rais wa Ghana Prof Mills kama kawaida yake achukue Flash hata GB 8 kama hii yangu ili amwambie huyu aliyeapishwa juzi amnyonyee kwenye Flash tuje tui - edit tu mambo madogo madogo ya majina then tuizindue kama yetu, kwani hata vitu vizuri hatuwezi kuiga jamani ?
Jamani, Enyi mlio karibu na Kaka mkubwa msifanye masihara maana tayari UDINI umeshika kasi nchini ! Tumieni muda huo kuiokoa Tanzania yetu
Kumekuwa na habari katika nyingi nyingi tu kwenye vyombo mbali mbali vya habari kuwa Katiba ya Ghana ndio Katiba bora kuliko zoote Afrika ! Mi naomba mumwambie Kaka mkubwa akienda kwenye msiba wa Marehemu Rais wa Ghana Prof Mills kama kawaida yake achukue Flash hata GB 8 kama hii yangu ili amwambie huyu aliyeapishwa juzi amnyonyee kwenye Flash tuje tui - edit tu mambo madogo madogo ya majina then tuizindue kama yetu, kwani hata vitu vizuri hatuwezi kuiga jamani ?
Jamani, Enyi mlio karibu na Kaka mkubwa msifanye masihara maana tayari UDINI umeshika kasi nchini ! Tumieni muda huo kuiokoa Tanzania yetu