YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,905
Wanaukumbi.
Abdalah Bulembo ndiye anaongoza kampeni za ccm na elimu yake ni darasa la saba.
Nimeamini kuwa ndio maana siku zinaposonga wanaendelea kupoteza hata zile kura chache ambazo wangepata.
Nchi hii darasa la saba ndio sehemu kubwa ya wapiga kura.Wanamuelewa darasa la saba mwenzao akiongeoa.Naona wewe siasa unadhani ni kitivo cha cha chuo kikuu.Mtakoma safari hii.Ni magufuli tu Raisi.
CCM tutawajazia darasa la saba kila upande wawashughulikie hadi mkome kuingia kichwa kichwa kwenye siasa NA HUYO lOWASA WENU.