shida yako nin.. c ulisha kula mzigo.. kuanzia hapo... tumia mpira.. Dont die too soon.. Wanawake siku hizi hawaridhiki na MIKE MOJA....
Inabidi uwe mjanja sana kama kweli huo ni babake mdogo kuna maneno hawezi tamka juu ya mtoto wa kakake ambae sawa na kusema wake... Na pia wadada hasa hizi dot com wajanja sana sidhani kama ni mjinga kiasi cha kutumia simu ya babake mdogo...
Salaam wakuu kuna kisa kimenitoke ila nakosa namnaya kukikabili, Nina mpenzi wangu nipo nae huu mwezi wa 9 sasa, yeye yupo moshi mimi nipo arusha maranyingine yeye huja arusha na mimi kwenda moshi, kamliza masomo yake ila bado hajapata kazi yupo nyumbani umri ana 21yrs... Sasa jana kanipigia simu kuwa baba yake mdogo alimuazimisha simu ndipo akakuta msg yangu kwenye simu yake, baada yakuona hyo msg baba mdogo akaenda kumwambia kaka yake ambae ndio baba yake na mpenzi wangu. Baba akakasirika na kumwita alipomuuliza akajibu mimi ni rafiki yake ambae tulisoma pamoja, kutokana na hiyo msg kutokudhihirisha wazi kama mimi ni mpezi wake ikabidi wa mwache. Sasa leo asubuhi kaniambia kuwa amesikia tetesi kuwa baba yake mdogo amesema atanipigia simu naatajifanya yeye ni mpenzi wake kwahiyo mtu akinipigia simu na kuniuliza kuhusu yeye nimjibu kuwa mimi ni rafiki yake tuliesoma wote.. TATIZO nilishapataga tetesi kuwa huyu binti ana mwanaume mwingine ila sijamuuliza kwakuwa nilikuwa bado nakusanya ushahidi. WASIWASI huenda huyo mwanaume ndio aliekamata hiyo msg na akamletea noma, sasa huyu binti anataka kutuliza noma asimkose huyo mwanaume na asinipoteze mimi ndio maana akawahi kuni set, na namba zahuyo jamaa kanipa pamoja na jina. Je, nifanyeje iliniujue ukweli?? msaada wanajf