Kama iliwahi kuwepo nisamehewe bure

Kama iliwahi kuwepo nisamehewe bure

bobezi

Member
Joined
Mar 10, 2013
Posts
63
Reaction score
11
MHUDUM;nikuhudumie nn kaka
JAMAA; hebu nipe menu list
MHUDUM; sawa nawewe dada (akimgeukia demu wa jamaa)
DEMU;na mie nipe hiyo menu list lakin usiweke pilipili.....!!!!
 
MHUDUM;nikuhudumie nn kaka
JAMAA; hebu nipe menu list
MHUDUM; sawa nawewe dada (akimgeukia demu wa jamaa)
DEMU;na mie nipe hiyo menu list lakin usiweke pilipili.....!!!!

hahahahaaaa! kaaaazi kwelikweli.

kuna afande mkuu wa kikosi wakati wa mafunzo ya jeshi akaitisha rokoo. kashika karatasi ya majina imeandikwa FULL NAME theni chini yake kuna majina ya wanakikosi. akaanza kuita

AFANDE: Full Name
WOTE: Yes sir
AFANDE: Samweli Saimon
SAMWELI: Yes sir
.
.
.
.
alipomaliza akasisitiza: Huyu Full Name huyu mwambieni lazima anione. vinginevyo jeshi ataiona ngumu
 
Mh yaelekea njemba ndio liliona aibu zaidi ya bi dada
 
hahahahaaaa! kaaaazi kwelikweli.

kuna afande mkuu wa kikosi wakati wa mafunzo ya jeshi akaitisha rokoo. kashika karatasi ya majina imeandikwa FULL NAME theni chini yake kuna majina ya wanakikosi. akaanza kuita

AFANDE: Full Name
WOTE: Yes sir
AFANDE: Samweli Saimon
SAMWELI: Yes sir
.
.
.
.
alipomaliza akasisitiza: Huyu Full Name huyu mwambieni lazima anione. vinginevyo jeshi ataiona ngumu

Tena alikuwa anatamka "furuname"
 
MHUDUM;nikuhudumie nn kaka
JAMAA; hebu nipe menu list
MHUDUM; sawa nawewe dada (akimgeukia demu wa jamaa)
DEMU;na mie nipe hiyo menu list lakin usiweke pilipili.....!!!!

hahahahahahahahahaaaa
 
Back
Top Bottom