Hata mmiliki wa Facebook na yeye naona mke wake ana asili ya ChinaWanadai wimbi la wanaume wa kizungu wanaoa sana wanawake jamii ya china, Thailand, ufilipino na vietnam kwasababu ni watiifu na waaminifu sana kwa wanaume kwenye ndoa na mahusiano. Wanajishughulisha hata kwenye upishi na kutoonyesha dharau.
Aliyekuwa kansela wa Ujerumani Gerhard Schroder kaopoa demu kutoka Thailand na haambiwi kitu. Ameamua hadi kuhamia huko.