Kama huna hakika, usimwache

Umenena mkuu..nilivunja mahusiano na mtu niliempenda sana bila sababu nikijiamini kwamba atarudi tuu..
..kilichofuata ni historia..sintorudia tena kosa kama hili..

Aisee pole sana hiyo inaumaga. Wakat mwingine huwezi kujua uthamani wa kitu hadi pale utakapokipoteza....
 
Umeandika haya kwa hisia sana mkuu.... ni kweli kabisa, wengine wakioneshwa kupendwa sana sijui ni nini wanaanza kuamini kuwa hata afanye nini hutoki kwake, wanasahau kuwa hata uvumilivu una mwisho wake, na mtendwa akishachoka amechoka kweli akiondoka hapo hakuna kutazama nyuma...shukrani kwa kutufungia mwaka vizuri ....
 

ila mie wa kike jamani!
 
Mim hua nikiachana na mtu hua sirudian nae hata kwa dawa hata anibembelezeje anidanganyaje kurudiana ni ngumu
Bora nimkubalie mpya kuliko kurudiana na wa zamani
 
Acha tu hii topic ni sensitive. Nilivumilia all ---- for 6 solid good years, baadae nikaona he is not worth me. I just disappeared and cut communication. Hata akisali novena sirudi aisee.
 
Acha tu hii topic ni sensitive. Nilivumilia all ---- for 6 solid good years, baadae nikaona he is not worth me. I just disappeared and cut communication. Hata akisali novena sirudi aisee.

6 good years. This happens to many, you are not alone. Watu huwa wanaamini atabadirika, lakini old habits die hard, if they ever die because in most cases they dont.
 
No issues, this applies to all of us. Out of curiosity, ulijiona keki dada yangu?

Hukujua kuwa dunia ni bakery isiyo na likizo??

tatizo ni kuishi na mtu kwa mazoea..na kupenda kubembelezwa...na huku Jf last seen ni 2010..aisee basi tu nisije nikaharibu siku yangu..
 

... There is not such thing as true love, ni vile watu huvumilia na kuwa na mentality "Tumetoka mbali".
Nitaanzaje?..
"But kama hatukuzaliwa wote then hatutokufa wote na kama hatutokufa wote milele hatutokaa wote".

You may not be my LAST,my FIRST,or my ONLY,I loved before I'll love again
IF I love you now it is your present!!!!!!!!!

Heaven on Earth
 
Ukishamzoea mtu unamchukulia poa sana. Ukiwa in a relation endelea kujikumbusha feeling za mwanzon mlipoanza relation
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…