honey bee
Senior Member
- Nov 23, 2021
- 139
- 231
Naomba kurudi tena jukwaani wanajamii forum, msichoke, ugonjwa wangu ni ule ule, mapenzi!!!
Kuna mdada nilimuomba namba yake ya simu akanipatia, kesho yake nampigia, simu inapokelewa na mtu mwingine aliyeko mkoani! Nikaona niachane nae kwa kuwa hakutaka kunipa namba yake sahihi ya simu (nilivyohisi)
Then nikatengeneza urafiki wa kawaida tu na mdada mwingine, tuko nae coz moja!, tulivyozoeana yule binti akawa anaona wivu sana!! Ikafikia mahali nikaamua kuvunja ukimya na kumfuata, alikuwa na hasira kiasi cha kutokunijibu kila nilichomuuliza. Ila baadae alieleweka na kunielezea kuwa alikuwa amekosea kuandika namba yake! Usiku wake nikachat nae sana!! Tokea hapo akawa ni wa kwanza kunitumia sms, kunipigia na kunijulia hali! Maswali ya kichokozi alikuwa nayo kumhusu huyu rafiki yangu, utamsikia akisema "*** ana tabasamu nzuri?? Mbona unakua nae karibu kiasi hicho?"
Siku iliyofuata nikaamua nimtongoze, majibu ninayokutana nayo sasa " tafuta tu mwingine, mie sijaumbwa kuharibu mahusiano ya watu"
Issue imekuwa serious wadau, nikimpotezea ananifuata mwenyewe, nikimfuata, anakataa fika, tena sio kitoto, na mitego nimemfanyia sana, utasikia "hiyo naijua"
Naombeni maelekezo wakuu
Kuna mdada nilimuomba namba yake ya simu akanipatia, kesho yake nampigia, simu inapokelewa na mtu mwingine aliyeko mkoani! Nikaona niachane nae kwa kuwa hakutaka kunipa namba yake sahihi ya simu (nilivyohisi)
Then nikatengeneza urafiki wa kawaida tu na mdada mwingine, tuko nae coz moja!, tulivyozoeana yule binti akawa anaona wivu sana!! Ikafikia mahali nikaamua kuvunja ukimya na kumfuata, alikuwa na hasira kiasi cha kutokunijibu kila nilichomuuliza. Ila baadae alieleweka na kunielezea kuwa alikuwa amekosea kuandika namba yake! Usiku wake nikachat nae sana!! Tokea hapo akawa ni wa kwanza kunitumia sms, kunipigia na kunijulia hali! Maswali ya kichokozi alikuwa nayo kumhusu huyu rafiki yangu, utamsikia akisema "*** ana tabasamu nzuri?? Mbona unakua nae karibu kiasi hicho?"
Siku iliyofuata nikaamua nimtongoze, majibu ninayokutana nayo sasa " tafuta tu mwingine, mie sijaumbwa kuharibu mahusiano ya watu"
Issue imekuwa serious wadau, nikimpotezea ananifuata mwenyewe, nikimfuata, anakataa fika, tena sio kitoto, na mitego nimemfanyia sana, utasikia "hiyo naijua"
Naombeni maelekezo wakuu