nduza JF-Expert Member Feb 7, 2019 1,595 2,497 Dec 21, 2021 #21 "Sijaumbwa kuharibu mahusiano tafuta tu mwingine" Hichi tu ndiyo kinakufanya uje kuomba ushauri hapa? Ushawahi kutongoza tena before?
"Sijaumbwa kuharibu mahusiano tafuta tu mwingine" Hichi tu ndiyo kinakufanya uje kuomba ushauri hapa? Ushawahi kutongoza tena before?
honey bee Senior Member Nov 23, 2021 139 231 Dec 21, 2021 Thread starter #23 nduza said: "Sijaumbwa kuharibu mahusiano tafuta tu mwingine" Hichi tu ndiyo kinakufanya uje kuomba ushauri hapa? Ushawahi kutongoza tena before? Click to expand... Hamna mkuu! Ntaanza kesho kutongoza
nduza said: "Sijaumbwa kuharibu mahusiano tafuta tu mwingine" Hichi tu ndiyo kinakufanya uje kuomba ushauri hapa? Ushawahi kutongoza tena before? Click to expand... Hamna mkuu! Ntaanza kesho kutongoza
honey bee Senior Member Nov 23, 2021 139 231 Dec 21, 2021 Thread starter #24 Will Jr said: She is like a child Click to expand...
Mr Devil JF-Expert Member Jul 7, 2019 10,094 21,696 Dec 21, 2021 #25 Kuna wakati Nilizani we ni sh*ga bhanaa alaah kumbe hadi mashost unao
Nas Jr JF-Expert Member May 15, 2018 7,919 8,609 Dec 21, 2021 #26 honey bee said: Kwani umri sahihi wa kuwa na akili za kimapenzi ni miaka mingapi mkuu!?? Click to expand... Hakuna umri sahihi ila kuna wakati sahihi.. Wewe huo wakati bado....
honey bee said: Kwani umri sahihi wa kuwa na akili za kimapenzi ni miaka mingapi mkuu!?? Click to expand... Hakuna umri sahihi ila kuna wakati sahihi.. Wewe huo wakati bado....
honey bee Senior Member Nov 23, 2021 139 231 Dec 21, 2021 Thread starter #27 Nas Jr said: Hakuna umri sahihi ila kuna wakati sahihi.. Wewe huo wakati bado.... Click to expand... kivipi mkuu!!!? Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Nas Jr said: Hakuna umri sahihi ila kuna wakati sahihi.. Wewe huo wakati bado.... Click to expand... kivipi mkuu!!!? Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app