Kama hukuiona hii hapa

Kama hukuiona hii hapa

mfilisti achaga basi kuniharibia madili yangu sasa picha yangu kuitoa maana yake ni nini? mbona kunizibia riziki lakini .... weekend nilijua napata hata hela ya safari lager naona unazengua

ha ha ha nilikumbuka mwaka jana tulivyoenda krismasi hii picha uliipiga ulipokua unatoka kwa mama shirima kunywa mbege
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha nilikumbuka mwaka jana tulivyoenda krismasi hii picha uliipiga ulipokua unatoka kwa mama shirima kunywa mbege
acha tu ile mbege alitia msesewe kudadeki hapa ninakiu nasubiria mda ufike tu.. japo na wasi wasi na magu anaweza tuambia tusiende nauli zitumike kujengea barabara yeleuwiiiiii
 
acha tu ile mbege alitia msesewe kudadeki hapa ninakiu nasubiria mda ufike tu.. japo na wasi wasi na magu anaweza tuambia tusiende nauli zitumike kujengea barabara yeleuwiiiiii

kibo!! Yesu Maria
 
Mh, Kibo10
attachment.php

Uzuri unapokuwa unaleta maana halisi ya Uzuri.
 
Last edited by a moderator:
Hako katoto kakilala na njaa katakuwa kamejitakia....:yawn:
 
Back
Top Bottom