Enzi hizo kuangali video kwa jirani MPAKA MUOGE kwanza ndo mruhusiwe.
Na huko ndani mnaenda kukaa chini.
Kujisugulia chupi mda wa kuoga..!
ww ndiye Hamis Mussa Msangi?Hiyo michezo na mingine mingi tulicheza sote!kama hujafanya mambo haya hujakaa uswazi
1. Kulilia soda ya mgeni
2. Kukataa kuoga
3. Kukataa kwenda shule kwa kusingizia unaumwa
4. Kutochez mbali na nyumbani siku ya sikukuu ili ufaidi pilau
5. Kulamba kamasi
6. Kucheza kombolela/kidali au kibaba na mama
7. Kwenda kuangalia muvi kwenye mabanda ya video.
Haya wadau tuendelee na mengine ambayo nimeyasahau.
da hiyo ya kusingizia kuumwa nimefanya sana nilivyoshtukiwa mbinu hyo nikaanza kuficha nguo unachukua shati la shule unalitupa uvunguni asubuh mama analitafuta mpaka anakwambia utaenda kesho unarudi kulala,kuna cku akanipatia shati halionekani akanipa bonge la shati la bro ananiambia leo utaenda shule mbona nililitoa shati mwenyewe mama hili nimeliona mama analiweka mezani analivuta vuta anapunguza mikunjo unaenda shule.
ww ndiye Hamis Mussa Msangi?Hiyo michezo na mingine mingi tulicheza sote!
mmekosa mengi kweli.
kama hujafanya mambo haya hujakaa uswazi
1. Kulilia soda ya mgeni
2. Kukataa kuoga
3. Kukataa kwenda shule kwa kusingizia unaumwa
4. Kutochez mbali na nyumbani siku ya sikukuu ili ufaidi pilau
5. Kulamba kamasi
6. Kucheza kombolela/kidali au kibaba na mama
7. Kwenda kuangalia muvi kwenye mabanda ya video.
Haya wadau tuendelee na mengine ambayo nimeyasahau.
8.kuangala video ya mabox mnatoboa box kwenye tobo unaweka karatasi nyeupe mtu anakaa nyuma na kibatari na watu wa kuchonga kwa box then anawapiganisha waangaliaji full burudani.
9.kusukumiza magari halafu likiwaka mnapanda mnapelekwa mbali kinoma mwenyeshe anawas