Kama hili lina ukweli basi Uhuru Kenyatta ni noma sana, kwa sasa anachekea tumboni tu

Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
Aliyekupa hilo Desa amekudanganya Mwayego!
 
Huenda ikawa ni 50/50 ila tujuavyo wengi huja kununua mahindi Tz then wao wana tuletea unga yaan sisi tuna wauzia malighafi then wao wana tuletea bidhaa
Vile vile ukumbuke sehemu ya kaskazini mwa Kenya ni kame sana, muda mwingi hukumbwa na baa la njaa. Hivyo, inaweza kuwa wameruhusu ili Wananchi wao wasiathirike na njaa.
 
Mtaanzisha thread za kila aina na kila wakati wakati ili kumchafua SSH lakini hamtabadilisha ukweli kuwa MAGUFULI IS DEAD na SSH ndiye Rais wa Tanzania 2021 - 2025
 
wewe umeshindwaje kuunda mpango wa kuwanyonya wakenya kama wafanyavyo kwako? Au upo hapa kutia huruma tu?
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
Kwa ushuzi huu hata bibi yako wa kijijin hawez kukuelewa!Sukuma Gang kichwani mabumunda,ushuzi huu hauna logic hata kidogo
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.

Kwanini nyie msilime wenzenu wameiona fursa
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
Kwamba kama Magu angekuwa hai na Kenya ikaruhusu maindi kuingia, Magufuli angezuia yasiingie Kenya?
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
Hizi ni roho mbaya tu KWA umaskin wetu , shida iko wapi hata Kama wakenya walikuja kulima tz ila bado wafanyakazi katika mashamba yao sio wote walitoka kenya, pia bado wengine mazao yamenunuliwa KWA wakulima wetu,so tatizo nini, hata Kama Kinyatta kapitia urais wake ili wafanyabiashara wasifilisiwe ni haki Kama rais kuhakikisha anasupport ana walinda wasifilisike na ndo wajibu wa serikali YOYOTE tofauti na yamwendazake kutaka matajiri ishi Kama mashetani,
Tufanye kazi tutafute pesa ili kupunguza roho mbaya
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
Hujaandika chochote Cha maana!! jaribu kujenga hoja yako vizuri.

Sent from my TECNO B1p using JamiiForums mobile app
 
Ma

Manyang'au tangu lini wakaaminika!? Tz hatujifunzi kwa yaliyotupata ilipovunjika EAC?
Kweli usipoijua historia n8 lazima uwe bichwa la mwendawazimu!
Mama etu Samy stuka ebo !

Katika mahusiano ya nchi na nchi hakuna kitu kama “kuaminika” wala “kuaminiana”. Hakuna “nchi rafiki” wala “nchi adui”. Kuna “maslahi” na “mikakati” tu. Ukikaa kijinga unaliwa tu hata na umdhaniaye rafiki.

Lugha kama “mabeberu”, “manyang’au”, n.k. zinatumika na viongozi wa nchi zisizo na mwelekeo wa maana kiuchumi, kisiasa, na kimkakati. Nchi ambazo zinafikiri bado tuko enzi za Cold War!

Badala ya kupanga karata zetu vizuri jinsi tutakavyoiweka Kenya sawa ili tupate maslahi ya maana kiuchumi, tunaendekeza kutangaza uadui na kumimina mipasho kibao dhidi yao. Tunaonyesha hasira na jazba zisizo na maana. Heri Mama SSH kaenda kuweka taswira mpya.

Kenya wanachofanya ni kuendelea kutumwagia tabasamu la kinafiki hata kutupigia magoti ikibidi almuradi waendelee kuhodhi soko la Tanzania katika kila nyanja. Wanamiliki ardhi kubwa tu nchini kwetu. Wana-export mazao yetu muhimu kama kahawa na maparachichi hata mahindi. Wanafaidi vivutio vyetu vya utalii, n.k. Ikibidi, penye udhia wanapenyeza rupia.
 
kuna wakenya walikuwa wanalima vitunguu maji pale Ruaha mbuyuni.
wacha ndugu zetu walime wakale na watoto!! Akilima mzungu sawa mnachekelea.
Hkn kitu kenya.burundi.uganda sijui ghana mwee!! africa ni moja tu.

Tumeamua hivyo hutaki kaishi ulaya utumike make unapenda.burundi
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.

Kama ni kweli unafikili serikali haijui
 
Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.
ngosha mbona mnahangaika sana na huyu mpendwa mama kipenzi?
pambaf nyie! na mbado
 
M

Mbona Hayati Magufuli aliwaswaga kama punda na hamkuhoji?! Acheni chuki kwa Mama Samia, huyu ni Rais wetu na Mwenyezi Mungu amemtuma kuturejeshea furaha iliyopotezwa na Magufuli!
Mkuu mbona unanilaumu kwa jambo ambalo huna uhakika nalo?
Umeona wapi ambapo sikuhoji aliyokuwa akiyafanya Magufuli, umetumia ushahidi gani kunipa lawama hii?

Wewe sasa unapoteza ufahamu kabisa kwa huyu kuhusu maneno hayo, hata kama bado hujaona ushahidi wowote kwamba "Mama Samia huyu ametumwa na mwenyezi Mungu". Umeoteshwa juu ya hilo?

Halafu unakuwa mtu wa ajabu, kueleza lolote juu yake bila kusifu, wewe unaona ni "kumchukia"?
 
Back
Top Bottom