Kama hili lina ukweli basi Uhuru Kenyatta ni noma sana, kwa sasa anachekea tumboni tu

Mleta mada wewe umelima hekari ngapi wamekukataza usipeleke kuyauza Mpitimbi.
 
Wivu utawaua misukule wa Magufuli.
Mlizoea siasa za chuki na visa, mama Samia kasema hapana. Hataki kugombana na majirani zake au washindani wake, hatakj uadui bali anataka urafiki.
Mama anawapelekea moto hatari.
Legacy ya marehemu Magufuli inafutwa kwa kasi ya ajabu.
Wazee wa Legacy hawana tena lao soon tutaongea lugha moja tu mama
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
Mwendazake fc, mtatapatapa sana duniani kwa sasa !!biashara za mazao mengi ya kilimo kutoka Tz, wanunuzi wakubwa ni wakenya, nenda Tanga, Manyara, singida, pwani, Arusha, kilimanjaro, sasa unapokuja na habari ya mahindi hata hueleweki, na mwaka ule ambao walinunua mahindi yao kutoka zambia mkakataa yasipitishwe nchini nako walikuwa wamelima huko?basi tufanye hivi vyoyote itakavyokuwa lakini kupitia kufanya shughuri hizo watanzania wamenufaika nayo!!ACHENI HIZO MUACHENI MAMA AFANYE KAZI!!
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
Sasa hapo ndio umeeleza nini.
 
M
Kwa hiyo wewe unajua makubaliano hayo yanavitu gani? Kwa maana naona tayari umekwishakubaliana nayo!

Nieleze basi kuhusu swali langu nililouliza hapo chini ya bandiko uliloni'quote'.

Twamwache apige kazi, hata kama anatuuza utumwani? Hiyo ni akili ya wapi?
Huwezi kuswagwa tu kama ng'ombe kupelekwa machinjioni bila kuhoji.
Mbona Hayati Magufuli aliwaswaga kama punda na hamkuhoji?! Acheni chuki kwa Mama Samia, huyu ni Rais wetu na Mwenyezi Mungu amemtuma kuturejeshea furaha iliyopotezwa na Magufuli!
 
Hakuna wafanyabiashara wa mahindi wa Kenya wenye mashamba Tanzania, kama wapo ni wachache Sana.

Halafu nusu ya hayo Mahindi yanatoka Zambia..kwa hiyo unataka kusema wanalima in hadi Zambia.?
Wanatoaje zambia wakati tanzania mahindi ni mengi mpaka yamekosa pa kutunza?
 
HADITHI NJOO UONGO NJOO......


MATAGA ch.upi zimewabana hata kutembea hamuwezi.

Na mama kasema leo Zito Kabwe anakuwa Waziri wa Fedha, Tundu Lisu mwanasheria mkuu.

Mtarudi kwenu Burundi kwa mguu.

mkuu akifanya hivyo, kutakuwa na katiba mpya na tume huru?

unajiona mjanja hapa? wakati ushamalizwa?


hakuna kupeana vyeo kitaifa bila sheria na katiba....nje ya hapo ni kuibiana kule kule kwa wabunge na viongozi

unabaki mataga mataga....haufikirii....yaani limit yako ni mataga tu

Kweli aliwanyoosha
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
mi mchagga wa kibosho nina mahnd yangu yako namanga plz niombe msamaha
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
Mzandiki katika ubora wako. Yaani wakenya walio agiza mahindi Mexico, kwa sababu kwa sababu ya diplomasia mbaya ya JIWE ndo hao hao waje walime Tz halafu wazuie mahindi waliyo lima kuingia nchini kwao penye soko kubwa huu kama si uzandiki ni nini?

Tatizo bado mnaabudu kauli za jiwe za kuonyesha ubabe na umaskini jeuri, huku wananchi wakiendelea kuumia. Hizo ni tabia za kijima kabisa, dunia ya leo unahitaji muingiliano mkubwa wa kimataifa katika biashara, uwekezaji, elimu na teknolojia. Weka Sera nzuri na sheria, simamia vyema hizo sheria kudhibiti dhuluma, ukwepaji kodi, na janja zinginezo bila kujali ni mtanzania, mkenya au mwekezaji awaye yote kutoka mahali popote.

Inakuathiri nini iwapo wawekezaji wengi wakiwa wakenya provided kwamba wanafuata sheria za nchi Na kulipa kodi?

Ona sasa mama alivyo leta ahueni kwa mkulima na mfanyabiashara wa mazao Tz; tayari soko la mahindi limeanza kuja juu, akina mie tulokuwa tumejaza mahindi stoo, kwa kukosa soko sasa tumeshafungua stoo zetu na mzigo umeanza kutembea kwa kasi.

Jiwe is no more, stop dreaming; the realm is with SASHA.
 
This Post made me remember the wise words my grandma said to me at my aunt's wedding while we were sitting next to each other besides the band. The music was so loud so I didn't hear the wisdom😏😏
 
Ni dhahri wakenya Nia Yao ni ovu always na wanatufanya kitu mbaya mchana kweupe. Why watanzania always wanakuwa mazwazwa ikija issue ya National interest
 
Wanatoaje zambia wakati tanzania mahindi ni mengi mpaka yamekosa pabkutunza?
Njoo hapa Tunduma uone canter, Noa, Bodada na baiskeli zinavyopishana kuvusha Mahindi toka Zambia.
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
Huenda ikawa ni 50/50 ila tujuavyo wengi huja kununua mahindi Tz then wao wana tuletea unga yaan sisi tuna wauzia malighafi then wao wana tuletea bidhaa
 
Back
Top Bottom