The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,158
- 51,086
Wewe umejuaje kua 24hrs yupo humu JF kama na wewe haumo humu hiyo 24hrs?Hivi wewe taga huwa huna kazi yoyote ya kufanya?
24 hours uko JF kuponda serikali na Chadema.
Kwa taarifa yako wanaofurahia na kuunga mkono uongozi wa mama ni watanzania wote. wanaCCM, Chadema,Act na wale wasiokuwa na chama.
Watanzania walikuwa wamechoshwa kabisa na utawala wa kidikteta wa Magufuli. Hawajazoea mambo ya namna hiyo. Ya kutekana na kubambikiziana kodi. Ya kupora mali za wafanyabiashara.
🤣🤣