Ungemnunulia tu nyingine kumsaidia kuifanya iyo kazi ya Mungu ya ualimu.Jana katika kazi zangu za ujenzi wa taifa nilikuwa mjini Babati katika shule ya sekondari x. Miongoni mwa changamoto zinazowakabili walimu kwa sasa ni utovu wa nidhamu kutoka kwa wanafunzi wao.
Hebu fikiria mwanaJF mwenzangu hivi inakuwaje mwanafunzi anapata ujasiri wa kuiba baiskeli ya mwalimu wake!
Yule mwalimu aliyeibiwa baiskeli alituelezea kwa hisia mno jinsi alivyojibana hadi kupata baiskeli yake ambayo hakudumu nayo hata siku 2 mwanafunzi akaiotea.
Muhimu ni sisi wazazi au walezi kuwasaidia walimu katika kuwaform watoto wetu kimaadili ili kuwamotisha walimu kuwasaidie wanetu ktk masomo yao.
Ni kweli pia kwamba hata walimu wa zama hizi wana changamoto zao kimaadili lakini sisi kama wazazi au walezi tutimize wajibu wetu ktk malezi ili tuwe na kizazi bora kimaadili.
Naomba kuwasilisha
Hii ni hasara ya walimu wakliwalimu tuna hali ngumu.mi nilipanda mbegu ya muda mfupi ya mahindi mwanzo wa December wameshaanza kuyatoboatoboa kuchungulia kama yamekomaa.nikijaaliwa kaz nyingine hii mi naacha kiukweli
walimu tuna hali ngumu.mi nilipanda mbegu ya muda mfupi ya mahindi mwanzo wa December wameshaanza kuyatoboatoboa kuchungulia kama yamekomaa.nikijaaliwa kaz nyingine hii mi naacha kiukweli
Hata nakushangaa na wewe tena maana una itikadi za umbea....Sasa kama wewe uliyecheka na hukijui kilichokuchekesha sisi tutakijuaje?!!
Naona walimu mnatoa ya moyoni.walimu tuna hali ngumu.mi nilipanda mbegu ya muda mfupi ya mahindi mwanzo wa December wameshaanza kuyatoboatoboa kuchungulia kama yamekomaa.nikijaaliwa kaz nyingine hii mi naacha kiukweli
Ni mmoja ya wale wahanga wa mikopo ya mabenki ambao hupokea pesa kidogo.Huu uzi unanifikkirisha na kunichekesha sana..kwa mfano, umeelewa nini hapa "Yule mwalimu aliyeibiwa baiskeli alituelezea kwa hisia mno jinsi alivyojibana hadi kupata baiskeli yake ambayo hakudumu nayo hata siku 2 mwanafunzi akaiotea"
Hilo jina lako mkuu limekaa kichatochatoWizi upo tangu zamani, siku hizi mmefanya kama ni kitu kipya ambacho hakikuwahi kutokea.
Aliyeiba baiskeli ni mwizi, ilitokea tu kwamba alikuwa anasoma hiyo sekondari, lakini ni mwizi.
Hata matajiri ni wezi, wizi sio swala masikini ni tabia ya mtu.
Wizi sio swala la,maadili ni tabia ya mtu, ndio maana utaona mapadri au masheikh wazinzi.
Tabia hizi zimekuwepo tangu B.C.
Ha ha ha ha walimu dizain yako ndo wale wapole hata kushika bakora hawajui.kuwa kama mm kabla sijaingia class napiga cha arusha halafu nabeba bakora yangu matata ambayo naweza chapa shule nzima na isikatike.watoto wananiogopa kama kipindupindu hakuna wakuthubutu kuniwazia jambo bayawalimu tuna hali ngumu.mi nilipanda mbegu ya muda mfupi ya mahindi mwanzo wa December wameshaanza kuyatoboatoboa kuchungulia kama yamekomaa.nikijaaliwa kaz nyingine hii mi naacha kiukweli
ushahidi wa kimazingira unaonesha aliyeiba ni mwanafunziUnaweza kuta alie muibia sio mwanafunz ni mwalimu mwenzake... Binadamu hatuko sawa kuna watu ni vichwa maji hata uwakanye au kuwafundisha hawabadiliki
kuacha kazi sio suluhisho kila kazi inachangamoto zake.Kumbuka tunafanya dhambi lakini viongozi wa dini hawaachi kazi kikubwa ni kuhimiza wazazi na walezi kutekeleza majukumu yao ktk malezi ya wanafunziwalimu tuna hali ngumu.mi nilipanda mbegu ya muda mfupi ya mahindi mwanzo wa December wameshaanza kuyatoboatoboa kuchungulia kama yamekomaa.nikijaaliwa kaz nyingine hii mi naacha kiukweli
pole kwa aliyeibiwa ila lengo la post ni kukumbusha wajibu wetu kama wazazi/walezi kusaidiana na wanetu ktk malezi sahihiPole,maadili yameshuka sana siku hizi
something to be done is to support teachers in making these learners to be acceptable members of the societyTuna safari ndefu..yani Maisha ya mtu muhimu kama Mwalimu amejibana na kujinyima akanunua baiskeli..Hana tofauti na Katekista..something has to be done!
ndio mkuu ,nafikiri tatizo ni kwamba wazazi ama walezi tumeacha kuelekeza maadili mema kwa tunaowalea92% ya watanzania ni wategemezi.
Wana Jf, hao watoto wezi,watukutu,panya road, ninjas,madanga ni wanetu.wadogo zetu.Tusiwaache. Tutapata wajukuu vichwa maji