Unaunga mkono utekaji nchi kwa sababu yeyote na kwa mtu yeyote? Ndiyo au hapana? Kama ndiyo tupe sababuEmbu tuambie kwanza; Nani kamteka nani? Maana huenda una unachokijua Ili tarahisishe kazi.
Fatma karume nae mdini sana hana maana zama za magufuli mdomo ulikiwa juu sana tukaamani ni mpigania haki za usawa kumbe nae ana udini na uzanzibarGwajima alitaka kubadilisha misikiti kuwa makanisa-Fatma Karume