GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,920
Nachukizwa sana kama siyo mno na tabia ya Watu mbalimbali hasa Makampuni kujifanya wakati wa Sherehe mbalimbali hasa hizi Kubwa za Kidini ndiyo Wanatembelea Makundi ya Watu wasiojiweza kama Watoto Yatima na Wazee bila kusahau Wagonjwa huku wakiwasaidia Vitu mbalimbali.
Kwangu Mimi nautafsiri huu ni ' Unafiki ' wa Kiwango Kikubwa sana kwani haingii akilini katika Siku 365 za Mwaka yaani tunawakumbuka hawa Watu wenye kuhitaji Msaada wetu kwa Siku 1 tu halafu hapo hapo tunajisifu Mitandaoni na katika Vyombo vya Habari wakati kumbe ni ' Upuuzi ' mtupu.
Uwekwe utaratibu wa kuwasaidia kila Siku na siyo kusubiria katika hizi Sherehe Kubwa za Kidini. au la sivyo tuache tu Kuwasaidia na Mwenyezi Mungu atajua Yeye mwenyewe jinsi ya Kuwapigania kwani nilichogundua ni kwamba 99.9% ya wanaojifanya kuwa wanawasaidia wanafanya hivyo kwa ' Maslahi ' yao binafsi hasa hasa ya Kutafuta Sifa kwa Jamii, au Kuwaridhisha Wafadhili Wao au wapo wengine pia wanafanya hivyo kama sehemu yao ya ' Maagano ' na Waganga Wao wa Kienyeji ili tu mambo yao yazidi Kunyooka ' Kishirikina ' lakini huwa siyo ' Utashi ' Wao.
Nawasilisha.
Kwangu Mimi nautafsiri huu ni ' Unafiki ' wa Kiwango Kikubwa sana kwani haingii akilini katika Siku 365 za Mwaka yaani tunawakumbuka hawa Watu wenye kuhitaji Msaada wetu kwa Siku 1 tu halafu hapo hapo tunajisifu Mitandaoni na katika Vyombo vya Habari wakati kumbe ni ' Upuuzi ' mtupu.
Uwekwe utaratibu wa kuwasaidia kila Siku na siyo kusubiria katika hizi Sherehe Kubwa za Kidini. au la sivyo tuache tu Kuwasaidia na Mwenyezi Mungu atajua Yeye mwenyewe jinsi ya Kuwapigania kwani nilichogundua ni kwamba 99.9% ya wanaojifanya kuwa wanawasaidia wanafanya hivyo kwa ' Maslahi ' yao binafsi hasa hasa ya Kutafuta Sifa kwa Jamii, au Kuwaridhisha Wafadhili Wao au wapo wengine pia wanafanya hivyo kama sehemu yao ya ' Maagano ' na Waganga Wao wa Kienyeji ili tu mambo yao yazidi Kunyooka ' Kishirikina ' lakini huwa siyo ' Utashi ' Wao.
Nawasilisha.