Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,560
- 7,914
Kama hatufuati katiba ni kajitabu tu, inamaana hakuna raisi, hakuna polisi wala hakuna nchi wala serikali kila mtu kivyake katiba ndio msingi.
Watu wasio na akili waambieni katiba ndio msingi kama haipo inamaana hakuna amiri jeshi wala JWTZ wala nani kila mtu ni kama hayupo tu. sasa inakuwa je mtu avunje katiba alafu bado awe amiri jeshi ?
kuna ujinga mwingi sana unamuona mtu amevaa sare za jeshi anampigia saluti mtu aliye vunja katiba na kujisimika madarakani tuache kuwa malofa unampa saluti kwa miongozo gani wakati tumeamuwa kuifanya katiba haipo sheria za saluti zimetoka wapi?
Watu wasio na akili waambieni katiba ndio msingi kama haipo inamaana hakuna amiri jeshi wala JWTZ wala nani kila mtu ni kama hayupo tu. sasa inakuwa je mtu avunje katiba alafu bado awe amiri jeshi ?
kuna ujinga mwingi sana unamuona mtu amevaa sare za jeshi anampigia saluti mtu aliye vunja katiba na kujisimika madarakani tuache kuwa malofa unampa saluti kwa miongozo gani wakati tumeamuwa kuifanya katiba haipo sheria za saluti zimetoka wapi?