Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,856
- 16,751
Jamani, kweli kifo kikifika, kimefika tu...Hata ufanyaje, kifo hakikwepeki...
Hadi sasa, hakuna dalili hata ya MKOA mmoja CCM kushinda kura za Urais, hata ile mikoa ambayo ilikuwa CCM mfano Morogoro, sasa hivi yoote ni LOWASSA, UKAWA...najua hamtaamini..huu ndio ukweli..hali ni mbaya mbayaa kwa CCM...hakuna jinsi...
Mikoa yenye kura nyingi sana, popular votes, yoooteeee ni Lowassa, Ukawa...
Eg. Dar, Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa, Kigoma, Mtwara, Songea ( Ruvuma), Morogoro, Geita, Pemba, Unguja, Manyara, Pwani...Shinyanga, Mara, Dodoma, Singida, Tabora...yaani sehemu kama KAHAMA ndio usiseme 100% UKAWA...
Nikasema ngoja niangalie makundi ya watu wanaokubali ukawa, Lowassa, majibu yanatisha..
1: Machinga 99%. UKAWA, LOWASSA
2: Bodaboda 100% Ukawa, Lowassa
3: Waalimu 95% Ukawa Lowassa
4: Wafugaji 100% Ukawa, Lowassa
5: Wakulima 85% Ukawa,Lowassa
6: Wana vyuo 97% Ukawa, Lowassa
7: Mama ntilie, 95% Ukawa,lowasaa
8: Wafanya kazi 85% Ukawa, Lowassa
9: UVCCM, 80% Lowassa
10: UWT, 75% Lowassa
11: CCM 60% Lowassa( Najua hapa mtakataa)
12: Wazee 70% Lowassa
13: Albinos 90% Lowassa
14: Masheikh 80% Lowassa
15: Maaskofu 80% Lowassa
16: Waislam 90%, Ukawa, Lowassa
17: Wakristo 80%, Ukawa, Lowassa
18: Wavuvi 80% Ukawa, Lowassa
19: Bavicha 100%, Ukawa, Lowassa
20: Bawacha 100%, Ukawa, Lowassa
21: Waandishi wa habari 75% Lowassa..
Kweli wananchi wameamua, mmmhh...!!! wanataka mabadiliko
CHANGE has come to Tanzania...!!
SIONI HATA mkoa mmoja, CCM itakao shinda kura za URAIS...sioni..!! Hali ni mbaya sana sanaaa...kila mtu, kona, mtaa, wilaya, mikoa,.majiji ni UKAWA, LOWASSA...
Kweli, kifo kikifika, kimefika...nakumbuka ya KANU...!!!
It is TIME for CHANGE...!!!
Hadi sasa, hakuna dalili hata ya MKOA mmoja CCM kushinda kura za Urais, hata ile mikoa ambayo ilikuwa CCM mfano Morogoro, sasa hivi yoote ni LOWASSA, UKAWA...najua hamtaamini..huu ndio ukweli..hali ni mbaya mbayaa kwa CCM...hakuna jinsi...
Mikoa yenye kura nyingi sana, popular votes, yoooteeee ni Lowassa, Ukawa...
Eg. Dar, Mwanza, Arusha, Mbeya, Kilimanjaro, Iringa, Kigoma, Mtwara, Songea ( Ruvuma), Morogoro, Geita, Pemba, Unguja, Manyara, Pwani...Shinyanga, Mara, Dodoma, Singida, Tabora...yaani sehemu kama KAHAMA ndio usiseme 100% UKAWA...
Nikasema ngoja niangalie makundi ya watu wanaokubali ukawa, Lowassa, majibu yanatisha..
1: Machinga 99%. UKAWA, LOWASSA
2: Bodaboda 100% Ukawa, Lowassa
3: Waalimu 95% Ukawa Lowassa
4: Wafugaji 100% Ukawa, Lowassa
5: Wakulima 85% Ukawa,Lowassa
6: Wana vyuo 97% Ukawa, Lowassa
7: Mama ntilie, 95% Ukawa,lowasaa
8: Wafanya kazi 85% Ukawa, Lowassa
9: UVCCM, 80% Lowassa
10: UWT, 75% Lowassa
11: CCM 60% Lowassa( Najua hapa mtakataa)
12: Wazee 70% Lowassa
13: Albinos 90% Lowassa
14: Masheikh 80% Lowassa
15: Maaskofu 80% Lowassa
16: Waislam 90%, Ukawa, Lowassa
17: Wakristo 80%, Ukawa, Lowassa
18: Wavuvi 80% Ukawa, Lowassa
19: Bavicha 100%, Ukawa, Lowassa
20: Bawacha 100%, Ukawa, Lowassa
21: Waandishi wa habari 75% Lowassa..
Kweli wananchi wameamua, mmmhh...!!! wanataka mabadiliko
CHANGE has come to Tanzania...!!
SIONI HATA mkoa mmoja, CCM itakao shinda kura za URAIS...sioni..!! Hali ni mbaya sana sanaaa...kila mtu, kona, mtaa, wilaya, mikoa,.majiji ni UKAWA, LOWASSA...
Kweli, kifo kikifika, kimefika...nakumbuka ya KANU...!!!
It is TIME for CHANGE...!!!