Kama hakuna tunacho mdai si aachie ngazi

Kama hakuna tunacho mdai si aachie ngazi

Urais si ni uongozi wa kuwatumikia wananchi na ni wito kama ametimiza kila kitu hakuna tunacho mdai basi apumzike aingie mwingine tumdai au anataka aendelee afanye nini sasa akati kwa uwezo wake amemaliza?
Eti hadaiwi huku Simiyu nzima haina hata lami ya kusingiziwa, achilia mbali maji, afya, elimu n.k ni aibu tupu
 
Urais si ni uongozi wa kuwatumikia wananchi na ni wito kama ametimiza kila kitu hakuna tunacho mdai basi apumzike aingie mwingine tumdai au anataka aendelee afanye nini sasa akati kwa uwezo wake amemaliza?
usikilizwe! una hoja!!!!!
 
Back
Top Bottom