kalokolaVIII
JF-Expert Member
- Jun 29, 2011
- 396
- 183
Excusatio non petita, accusatio manifesta!!! tafuta tafsiri yake na utaelewa kwamba kama kweli una akili hauna haja ya kuutangazia ulimwengu kuwa unazo - nimekuwa msomaji wa JF kwa kipindi bila kuchangia absit iniuria verbis i.e ashankum si matusi i really doubt kama wewe ni mmoja wapo wa hao wanaoitwa wana akili - angalau mimi ninajijua kuwa ni punguani ahahahahahahaha! - nilikuwa napita tu- mbonde yangu macho!!!!Aliposema 'hukohuko' alimaanisha kwenye mitandao ya kijamii. Watu wenye akili tuligundua mapema sana anachomaanisha.