Mzee wa Twitter
JF-Expert Member
- Nov 5, 2023
- 1,283
- 2,043
Ni safari ya pili sasa Cheo cha Naibu Waziri Mkuu kinatumika ktk Baraza la Mawaziri.
Mara ya kwanza ilikuwa wakati wa Utawala wa Awamu ya PILI Rais Ally Hassani Mwinyi alimteua Hayati Augustino Mrema, lakinu hata Majukumu ya Cheo hicho hatukuwahi kuyafahamu.
Mrema Ali hudumu na mwisho wa siku akataka ALIPWE Mafao ya Cheo hicho lakini aliambiwa aonyeshe kwenye KATIBA kifungu kinachoainisha Mafao ya Naibu Waziri Mkuu.
Serikali ya Awamu ya 6 imemteua tena Naibu waziri mkuu kama vile vile ilivyokuwa kwa Mrema kujua Majukumu yake ni shida kwani nae Cheo hicho hakimo kwenye Katiba.
Najiuliza kama kuna Umuhimu wa kuwa na Cheo hiki kwanini Hakiingizwi kwenye KATIBA ili Majukumu yake yaainishwe na Mafao ya Cheo hiki yajulikane?
Kwanini tunataka yajirudi ya Mrema kudai Mafao ya Cheo hiki wakati KATIBA haikutambui?
Tunashauri kama ni Lazima kuwe na NAIBU Waziri Mkuu basi Cheo hiki kiingizwe kwenye KATIBA.
Mara ya kwanza ilikuwa wakati wa Utawala wa Awamu ya PILI Rais Ally Hassani Mwinyi alimteua Hayati Augustino Mrema, lakinu hata Majukumu ya Cheo hicho hatukuwahi kuyafahamu.
Mrema Ali hudumu na mwisho wa siku akataka ALIPWE Mafao ya Cheo hicho lakini aliambiwa aonyeshe kwenye KATIBA kifungu kinachoainisha Mafao ya Naibu Waziri Mkuu.
Serikali ya Awamu ya 6 imemteua tena Naibu waziri mkuu kama vile vile ilivyokuwa kwa Mrema kujua Majukumu yake ni shida kwani nae Cheo hicho hakimo kwenye Katiba.
Najiuliza kama kuna Umuhimu wa kuwa na Cheo hiki kwanini Hakiingizwi kwenye KATIBA ili Majukumu yake yaainishwe na Mafao ya Cheo hiki yajulikane?
Kwanini tunataka yajirudi ya Mrema kudai Mafao ya Cheo hiki wakati KATIBA haikutambui?
Tunashauri kama ni Lazima kuwe na NAIBU Waziri Mkuu basi Cheo hiki kiingizwe kwenye KATIBA.