Kama chama kina chukua uwamuzi gani

Kama chama kina chukua uwamuzi gani

d tarimo

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2015
Posts
918
Reaction score
516
Pale mgombea wa kiti cha Urais anapo shindwa kueleza sera kwa wananchi anaishia kulalamika na kufanya mambo ya siyo yamaana kwenye majukwaa
nimeona mgombea wa ccm mara push up mara arukeruke tatizo hapo ninini
kama anakuwa ameishiwa maneno kwanini tusimwandikie cha kuongea jukwaani akifika tu anasoma
ile timu ya ushindi iko wapi watu 32 wako wapi
 

Attachments

  • 1443422053875.jpg
    1443422053875.jpg
    5.2 KB · Views: 326
Pale mgombea wa kiti cha Urais anapo shindwa kueleza sera kwa wananchi anaishia kulalamika na kufanya mambo ya siyo yamaana kwenye majukwaa
nimeona mgombea wa ccm mara push up mara arukeruke tatizo hapo ninini
kama anakuwa ameishiwa maneno kwanini tusimwandikie cha kuongea jukwaani akifika tu anasoma
ile timu ya ushindi iko wapi watu 32 wako wapi

mambo ya pwan
 

Attachments

  • 1443422156005.jpg
    1443422156005.jpg
    26 KB · Views: 171
Ikulu hakuna makarai ya zege ya kwenda kubeba!
 
Pale mgombea wa kiti cha Urais anapo shindwa kueleza sera kwa wananchi anaishia kulalamika na kufanya mambo ya siyo yamaana kwenye majukwaa
nimeona mgombea wa ccm mara push up mara arukeruke tatizo hapo ninini
kama anakuwa ameishiwa maneno kwanini tusimwandikie cha kuongea jukwaani akifika tu anasoma
ile timu ya ushindi iko wapi watu 32 wako wapi

Push up ni kitu ambacho wanajeshi wanafanya ni zoezi la kawaida.Anapopiga push up anapeleka ujumbe kwa wapiga kura na wanajeshi wote kuwa mambo ya jeshi anayaweza wampe kura awe amiri jeshi wao mkuu.Kampeni si maneno tu ni pamoja na vitendo.

Labda nikuulize inapotokea mgombea uraisi anajinyea jukwaani badala ya kuhutubia unadhani chama husika chenye huyo mgombea kichukue hatua gani mwanawane?
 
Push up ni kitu ambacho wanajeshi wanafanya ni zoezi la kawaida.Anapopiga push up anapeleka ujumbe kwa wapiga kura na wanajeshi wote kuwa mambo ya jeshi anayaweza wampe kura awe amiri jeshi wao mkuu.Kampeni si maneno tu ni pamoja na vitendo.

Labda nikuulize inapotokea mgombea uraisi anajinyea jukwaani badala ya kuhutubia unadhani chama husika chenye huyo mgombea kichukue hatua gani mwanawane?
Umewafukuza.
 
Push up ni kitu ambacho wanajeshi wanafanya ni zoezi la kawaida.Anapopiga push up anapeleka ujumbe kwa wapiga kura na wanajeshi wote kuwa mambo ya jeshi anayaweza wampe kura awe amiri jeshi wao mkuu.Kampeni si maneno tu ni pamoja na vitendo.

Labda nikuulize inapotokea mgombea uraisi anajinyea jukwaani badala ya kuhutubia unadhani chama husika chenye huyo mgombea kichukue hatua gani mwanawane?
Picha na clip zooooooote za kumchafua huyu mtu zilishaonekana, kuwekwa na kuonyeshwa mahali mbali mbali. mbona hii hajawahi kuwekwa au ni Siasa Chafu a.k.a Siasa ya Majitaka.
 
Back
Top Bottom