William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Naona kampeni zimekuwa nyingi. Kama Chama ana kiburi ajue namna ya kuishi nae tu.
Naona kampeni dhidi ya Chama na ubora wa Benchika zimezidi.
Tunawasubiri mechi ya Whydad na Kagera. Chama akiendelea kunyanyasika kama hajawahi kuifanyia lolote Simba. Kama sio mtu aliyeirudisha Simba makundi CAF mfululizo kwa mabao yake murua basi mfanye hayo.
Mkitaka mchezaji bora Simba waache janja janja. Janja janja tutaishia kuwapata makanjanja kama Onana na Okwa.
Mmewaacha Okra, Sacko, mnawatenga Phiri na Chama wakiwa wa moto kabisa mnataka muujiza gani.
Naona kampeni dhidi ya Chama na ubora wa Benchika zimezidi.
Tunawasubiri mechi ya Whydad na Kagera. Chama akiendelea kunyanyasika kama hajawahi kuifanyia lolote Simba. Kama sio mtu aliyeirudisha Simba makundi CAF mfululizo kwa mabao yake murua basi mfanye hayo.
Mkitaka mchezaji bora Simba waache janja janja. Janja janja tutaishia kuwapata makanjanja kama Onana na Okwa.
Mmewaacha Okra, Sacko, mnawatenga Phiri na Chama wakiwa wa moto kabisa mnataka muujiza gani.