KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Wakuu habarini za kazi,Nilikuwa nawaza hili kama serikali bajeti yake inategemea sana vinywaji kama pombe na sigara basi serikali haina budi kuwaheshimu wanywaji(walevi) na makampuni yao yanayotengeneza vinywaji hivyo.Na hata zile kamatakamata za usiku kwenye mabaa zingesitishwa maana hao ndio wanaolipa kodi kubwa serikalini na kamatakamata hiyo iamishiwe migodini na kusiwepo na shifti ya usiku migodini kwa sababu hakuna mchango wao mkubwa serikalini.Tena ule ulinzi wa jeshi la polisi unaopelekwa migodini ungelihamishwa na kuletwa kwenye kila baa maana bila hao serikali haiendi.