ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,712
- 57,224
Mbona ndio nafungasha hapa vitu mkuu nisepe.Kama una mpango wa kutoka nyumbani na kuanza kujitegemea kwa kuwa tu una pesa ya kulipa kodi miezi mitatu please tulia kwanza sikilizia hata mpaka mwezi November au mwakani hivi.
Kwanini mkuu? Au kwakuwa jana umekula milo yote mitatu ambayo ni maji asbuh, maji mchana na maji usiku😂😂😂Kama una mpango wa kutoka nyumbani na kuanza kujitegemea kwa kuwa tu una pesa ya kulipa kodi miezi mitatu please tulia kwanza sikilizia hata mpaka mwezi November au mwakani hivi.
🤣🤣🤣 aiseee alaf akfksha miaka 50 itakuwaje sasa?
Hakuwezi kuwa kwema 😂😂😂 huo ujio lazima kuna jambo limemkutaKimekukuta nn? Mbna ghaflaa sana, afu Asubuhi hii mapemaa kabisaa.
Kwemaa?![]()