Kama asingelikuwepo mtu huyu...!

Kama asingelikuwepo mtu huyu...!

kama asingekuwa mtu huyu vikao vya kifisadi vingekuwa vinafanyika hadi ikulu

kama asingekuwa mtu huyu , watanzania wangekuwa kama ukoo wa kambale kila mtu ana sharubu, hakuna baba wala nani

kama asingekuwa mtu huyu , maneneo kama unajua mimi nani, yangekuwa mengi sana mtaani.

kama asingekuwa mtu huyu, SGR isingejengwa, shirika la ndege lisingefufuliwa, mikataba ya madini isingerekebishwa, wakulima wangeendelea kunyanyasika, dili zingekuwa zinapigwa hadi na ikulu kabisa, watoto wa kitanzania wasingepata elimu bure

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
kama asingekuwa huyu , tanzania ingeendelea kuwa shamba la Bibi
Ufisadi ni nini?
Aina ya ufisadi awamu ya 5!
-Kutoa tenda kama anagawa karanga,hapa kama anapata 10% nani atajua?
-kaja na mradi wa vitambulisho,kila kimoja 20,000 na kachapisha mwenyewe!Ni nani anayejua gharama halisi za vitambulisho hivyo??????
 
kama asingekuwa mtu huyu vikao vya kifisadi vingekuwa vinafanyika hadi ikulu

kama asingekuwa mtu huyu , watanzania wangekuwa kama ukoo wa kambale kila mtu ana sharubu, hakuna baba wala nani

kama asingekuwa mtu huyu , maneneo kama unajua mimi nani, yangekuwa mengi sana mtaani.

kama asingekuwa mtu huyu, SGR isingejengwa, shirika la ndege lisingefufuliwa, mikataba ya madini isingerekebishwa, wakulima wangeendelea kunyanyasika, dili zingekuwa zinapigwa hadi na ikulu kabisa, watoto wa kitanzania wasingepata elimu bure

.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
kama asingekuwa huyu , tanzania ingeendelea kuwa shamba la Bibi
Kwani Tanzania hivi sasa ishakuwa shamba la babu?
 
Kama isingekua mtu huyu,,,,,,,,,,,wale wawili wasingekua NDANI,,,,,,,,,,,,kama isingekua mtu huyu, yule mmoja asingekua NJE mpaka leo
 
Acha kujitetea kijana..........watu tushachanganyikiwa sa hv..........hapa sio mim wala wew....ni limjamaa limoja hv


🙂🙂🙂🙂 Mkuu una uhakika sio wewe kweli. Au mimi ndio nimevurugwa
 
Siasa ya ujamaa na kujitegemea....

Kwenye siasa hakuna Mahaba, kwaherini.
Wakati wa nyuma hakuna Mtanzania alikwenda embassy za EU au USA ushitaki haki zake za binadamu zinavunjua.
Ilikuwa tafauti Mwalim NYERERE Anapigani haki za binadamu.
 
Back
Top Bottom