Kwa mwenye mtazamo yakinifu ni zahri kabisa kuwa italeta tabu 2020 but wanyama wameshatiwa hofu kiasi kikubwa Na pia dictatorship democracy it's still waving among of us. Pa kukimbilia hakuna so that Sheria wameiweka chini ya nyayo za miguuu yao ,,,,,,,picha acha iendeleee tuuuWakuu nawazaa kama Mheshimiwa zaidi, anatenda haya, akiwa na uoga na matarajio ya kuomba tena kura, amesahau aliomba kwa pushap, any way atatumia mbinu nyingine, tuseme wakampitisha tena,
atatutendeaje ikiwa katiba haimruhusu kugombea?
Jifunze namna ya kuondoa hilo wingu zito lilotanda ndani ya 3D yakoNaona wingu zito 2020, si umesikia tunataka katiba imara ya chama pendwa.
huu ukweli wako unanitishaKwa mwenye mtazamo yakinifu ni zahri kabisa kuwa italeta tabu 2020 but wanyama wameshatiwa hofu kiasi kikubwa Na pia dictatorship democracy it's still waving among of us. Pa kukimbilia hakuna so that Sheria wameiweka chini ya nyayo za miguuu yao ,,,,,,,picha acha iendeleee tuuu