Kalla Jeremiah kugombea urais wa JMT

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,035
142,138
Msanii Kalla Jeremiah amesema wananchi wamemtaka agombee ubunge lakini amewakatalia.Amesema yeye kama msanii kazi anazofanya ni sawa na mbunge hivyo kwenda mjengoni ni kama kujirudisha nyuma.Hivyo amesema lengo lake kwa sasa ni kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Source e News EATV
 
Mara mia ya huyo kala Jeremiah kuliko huyu mla rambirambi za wafiwa
 
Sawa, katiba inamuruhusu - wananchi wataamuwa hatima ya wagombea urais nchini

Lakini pia ni wazo zuri kwa kuwa hakuna sehemu anapovunja sheria za nchi
 
Nilipoiona hii post nimerudi kuangalia jukwaa nikidhani huenda ni jukwaa la jokes na utani. Watu wanataka heading kwenye media baada ya kuanza kupotea.
 
Ni haki yake kikatiba, baba Jesca alipokuwa na umri wa Kala hakuwahi kusema hili, hakuwa na ndoto hakuwahi hata kuwaza,ndio maana anashindwa sasa, ila Kala ataweza maana anajipanga.
 
Bora agombee, nafikiri ataweza kuleta changamoto sana kwa wagombea wengine. Wameweza Sugu na prof J. Why not Kala for presidency?
 
wananchi wa wapi hao....?
huyo atakuwa labda "kapatwa" sio bure.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…