johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,138
Mara mia ya huyo kala Jeremiah kuliko huyu mla rambirambi za wafiwaMsanii Kalla Jeremiah amesema wananchi wamemtaka agombee ubunge lakini amewakatalia.Amesema yeye kama msanii kazi anazofanya ni sawa na mbunge hivyo kwenda mjengoni ni kama kujirudisha nyuma.Hivyo amesema lengo lake kwa sasa ni kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Source e News EATV
Kwanini unaulizia degree. Siasa ni kujua kusoma na kuandika tu. Hata kuhesabu hakutakiwi.Ana Degree.??
Atatafuta ya Kibashite bashite, after all ni kujua kusoma na kuandika-- katiba inavunjwa kwani imevunjwa mara ngapi toka Dec, 2015!Ana Degree.??
Nilipoiona hii post nimerudi kuangalia jukwaa nikidhani huenda ni jukwaa la jokes na utani. Watu wanataka heading kwenye media baada ya kuanza kupotea.Msanii Kalla Jeremiah amesema wananchi wamemtaka agombee ubunge lakini amewakatalia.Amesema yeye kama msanii kazi anazofanya ni sawa na mbunge hivyo kwenda mjengoni ni kama kujirudisha nyuma.Hivyo amesema lengo lake kwa sasa ni kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Source e News EATV
BANGI HIZI.........Mara mia ya huyo kala Jeremiah kuliko huyu mla rambirambi za wafiwa
wananchi wa wapi hao....?Msanii Kalla Jeremiah amesema wananchi wamemtaka agombee ubunge lakini amewakatalia.Amesema yeye kama msanii kazi anazofanya ni sawa na mbunge hivyo kwenda mjengoni ni kama kujirudisha nyuma.Hivyo amesema lengo lake kwa sasa ni kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Source e News EATV